Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji
KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa
KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.
Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika na kuwataka wadhamini...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wachezaji 30 wasajiliwa Ligi Kuu
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine
10 years ago
Mwananchi06 Jul
LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu