Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine

Wiki iliyopita, wadhamini wa Ligi Kuu, Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom walitangaza dau ambalo timu zinazoshiriki Ligi Kuu zitapata msimu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

Habarileo

Wadhamini wazitakia heri timu Ligi Kuu

WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M

Klabu 14 zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zitavuna Sh 180 Milioni kwa mwaka kutoka kwa wadhamini mbalimbali wa ligi hiyo.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa

KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.

Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana  jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko  na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.

Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika  na kuwataka wadhamini...

 

9 years ago

Habarileo

Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji

KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao

Hakuna binadamu yeyote duniani asiyependa kufanikiwa katika jambo lolote analolifanya ingawa wakati mwingine bahati mbaya hutokea, mtu kushindwa kufanya vyema katika kile alichokipanga.

 

10 years ago

GPL

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA‏

Naibu Waziri wa maji Amos Makala wapili toka kulia akimkabidhi mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara  mwezi Novemba Rashid Mandawa wa Kagera Sugar(wapili toka kushoto) hundi yenye thamani ya  Sh. Milioni 1/=na kombe kabla ya mechi kuanza kati ya Simba na Kagera Sugar ambapo simba ililala kwa bao 1-0. Wengine kulia ni Makamu Mwenyekiti wa bodi ya ligi Said Mohamed. Kushoto Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu

Kwa miaka mingi sasa, klabu mbalimbali za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza zimekuwa zikikwepa kwa makusudi kulipa kodi kinyume na utaratibu kwa mujibu wa sheria za Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani