Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine
Wiki iliyopita, wadhamini wa Ligi Kuu, Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom walitangaza dau ambalo timu zinazoshiriki Ligi Kuu zitapata msimu ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Wadhamini wazitakia heri timu Ligi Kuu
WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja mbalimbali nchini.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa
KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.
Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika na kuwataka wadhamini...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji
KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao
10 years ago
GPLWADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA
10 years ago
Mwananchi06 Jul
LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara