Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

VODACOM YAZITAKIA KILA LA HERI TIMU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU TANZANIA BARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao, akizungumza jijini Dar es Salaam jana. WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao, alisema kuwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

Wadhamini wazitakia heri timu Ligi Kuu

WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

10 years ago

GPL

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA‏

Naibu Waziri wa maji Amos Makala wapili toka kulia akimkabidhi mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara  mwezi Novemba Rashid Mandawa wa Kagera Sugar(wapili toka kushoto) hundi yenye thamani ya  Sh. Milioni 1/=na kombe kabla ya mechi kuanza kati ya Simba na Kagera Sugar ambapo simba ililala kwa bao 1-0. Wengine kulia ni Makamu Mwenyekiti wa bodi ya ligi Said Mohamed. Kushoto Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

 Mchezaji wa Simba Hamis Kiiza(kushoto)akiwaonesha mashabiki wa timu yake  mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/- aliyokadhiwa na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)ambao ni wadhamini wakuu wa lihi hiyo kwa kuibuka  mchezaji bora wa ligi wa mwezi septemba wakati wa mechi ya timu hiyo na Majimaji iliyochezwa mwishoni mwa wiki ambapo timu yake ilishinda 6-1.Wengine katika picha wapili toka kushoto ni Meneja biashara wa TFF,Peter Simon na Ofisa Udhamini na...

 

9 years ago

GPL

VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MIL 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU (VPL) 2015/2016

Baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari mbalimbali nchini wakiwa kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.9 kwa timu zote zinazoshiriki ligi kuu ya mpira wa miguu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) leo vilivyokabidhiwa na mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya Vodacom Tanzania. Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akiongea na waandishi wa habari na...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILION 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU(VPL)2015/2016

 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa akiongea na waandishi wa habari na wawakilishi wa vilabu mbalimbali wa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.9 kwa timu zote zinazoshiriki ligi hiyo leo vilivyokabidhiwa na mdhamini mkuu wa ligi kampuni ya Vodacom Tanzania,kushoto ni Meneja Masoko wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania,(TFF)Peter Simon. Vijana...

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kwa kushirikiana na wadhamini wa Ligi Kuu kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, kesho siku ya alhamis tarehe 11/06/2015 wanatarajia kutoa zawadi kwa washindi wa Vodacom Premier League msimu wa 2014/2015.
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14

RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...

 

9 years ago

StarTV

TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.

Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.

 

TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani