WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JWVmD*3ooUcet2swCQ652IOo6PJoMbX0oApFA*1YeqwrNk-*52xZ9eG1VUr2liIUnA91fHUqsLlFhmsl0EP0tvuCTsZxFgKM/001.Ferrao.jpg?width=650)
VODACOM YAZITAKIA KILA LA HERI TIMU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU TANZANIA BARA
9 years ago
Habarileo11 Sep
Wadhamini wazitakia heri timu Ligi Kuu
WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja mbalimbali nchini.
10 years ago
GPLWADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yg6g7QIgmRI/VjX80w-O55I/AAAAAAAID1U/-OnVmPSCmNc/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yg6g7QIgmRI/VjX80w-O55I/AAAAAAAID1U/-OnVmPSCmNc/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3UbFSyLZRnM7XXHv77FXNocWQ0ODilJ2byFASyxuQv6exxRVuhBF44puNh*dScp7XHit*Zv7FX9g7z4Tmy3mvQN/001.SPORT.jpg?width=650)
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MIL 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU (VPL) 2015/2016
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jcpp4iUb3j4/Vebvr68y32I/AAAAAAAH1zo/dp9BKC_V3kQ/s72-c/002.SPORT.jpg)
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILION 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU(VPL)2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcpp4iUb3j4/Vebvr68y32I/AAAAAAAH1zo/dp9BKC_V3kQ/s640/002.SPORT.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zb8JEEhIMvE/Vebvr4wAMJI/AAAAAAAH1zk/SLiDhZMXHXY/s640/003.SPORT-AFRICAN%2BSPORT%2BTANGA.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s72-c/Vodacom_League_logo_3D.png)
VODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s640/Vodacom_League_logo_3D.png)
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14
RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...