Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14
RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Waamuzi waongeze umakini lala salama Ligi Kuu Bara
MBIO za timu 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zimefikia patamu kwani sasa kila timu imesaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla ya...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara
HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JWVmD*3ooUcet2swCQ652IOo6PJoMbX0oApFA*1YeqwrNk-*52xZ9eG1VUr2liIUnA91fHUqsLlFhmsl0EP0tvuCTsZxFgKM/001.Ferrao.jpg?width=650)
VODACOM YAZITAKIA KILA LA HERI TIMU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU TANZANIA BARA
10 years ago
Mwananchi16 Mar
LIGI KUU ENGLAND: Utamu na ugumu wa mechi za lala salama
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmY4Tl0VAlFMuDoBg-Tdk3xDs9mhqiRR2gr4pZZPwxep0VDKcAAIF*mYj9Rtfoj4-z6EEbhyy9sAlRj2wKt7nZL-/Vodacom_new_logo.jpg?width=750)
MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AZAM FC BINGWA LIGI KUU BARA 2013/2014
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BLzMCpclZWM/Ux8h1dralpI/AAAAAAAFS34/0ku_qcfMszk/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Lala salama ya Ligi Daraja la Kwanza leo