Lala salama ya Ligi Daraja la Kwanza leo
Mzunguko wa lala salama wa Ligi Daraja la Kwanza unaanza leo kwa timu nne kumenyana kwenye viwanja viwili tofauti kujaribu kufufua ndoto za kupanda Ligi Kuu msimu ujao,
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Ligi Daraja la Kwanza viwanja kuwaka moto leo
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Waamuzi waongeze umakini lala salama Ligi Kuu Bara
MBIO za timu 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zimefikia patamu kwani sasa kila timu imesaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmY4Tl0VAlFMuDoBg-Tdk3xDs9mhqiRR2gr4pZZPwxep0VDKcAAIF*mYj9Rtfoj4-z6EEbhyy9sAlRj2wKt7nZL-/Vodacom_new_logo.jpg?width=750)
MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA
10 years ago
Mwananchi16 Mar
LIGI KUU ENGLAND: Utamu na ugumu wa mechi za lala salama
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14
RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara
HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fwbc7Cu1tMA/VJcm48MmG-I/AAAAAAAG47g/XGnMMTTGzQU/s72-c/_79877643_martin_skrtel_getty.jpg)
Martin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fwbc7Cu1tMA/VJcm48MmG-I/AAAAAAAG47g/XGnMMTTGzQU/s1600/_79877643_martin_skrtel_getty.jpg)
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal.
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...