Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lala salama ya Ligi Daraja la Kwanza leo

Mzunguko wa lala salama wa Ligi Daraja la Kwanza unaanza leo kwa timu nne kumenyana kwenye viwanja viwili tofauti kujaribu kufufua ndoto za kupanda Ligi Kuu msimu ujao,

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ligi Daraja la Kwanza viwanja kuwaka moto leo

Polisi Dar es Salaam inashuka uwanjani leo kuikabili Kimondo ya Mbeya katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza utakaofanyika kwenye Uwanja wa Mabatini Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi waongeze umakini lala salama Ligi Kuu Bara

MBIO za timu 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zimefikia patamu kwani sasa kila timu imesaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla ya...

 

11 years ago

GPL

MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA

Dar es Salaam, 7 Aprili 2014. Huku ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa inaelekea ukingoni mdhamini Mkuu wa ligi hiyo  Vodacom Tanzania, wamesema wanavutiwa na ushindani ulipo katika mechi za sasa za ligi na mbio za ubingwa. Akizungumza punde baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Yanga na JKT Ruvu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na Ushindi wa Mabao 5 – 1. Meneja Uhususiano wa Nje wa...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND: Utamu na ugumu wa mechi za lala salama

Ikiwa karibu kila timu imebakiza mechi tisa kumaliza msimu wa 2014-15 wa Ligi Kuu England, timu ya Chelsea yenyewe imebakiza mechi 10 na ndiyo yenye matumaini zaidi ya kutwaa ubingwa ikiwa imekaa kileleni kwa siku nyingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14

RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara

HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

10 years ago

Michuzi

Martin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo

Na Sultani Kipingo Goli la kusawazisha lililofungwa kwa kichwa na Martin Skrtel (pichani) dakika saba ndani ya muda wa nyongeza leo umewapa Liverpool ushindi waliostahili dhidi ya Arsenal katika uwanja wao wa nyumbani wa Anfield. 
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal. 
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani