Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA

Dar es Salaam, 7 Aprili 2014. Huku ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa inaelekea ukingoni mdhamini Mkuu wa ligi hiyo  Vodacom Tanzania, wamesema wanavutiwa na ushindani ulipo katika mechi za sasa za ligi na mbio za ubingwa. Akizungumza punde baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Yanga na JKT Ruvu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na Ushindi wa Mabao 5 – 1. Meneja Uhususiano wa Nje wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi waongeze umakini lala salama Ligi Kuu Bara

MBIO za timu 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zimefikia patamu kwani sasa kila timu imesaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND: Utamu na ugumu wa mechi za lala salama

Ikiwa karibu kila timu imebakiza mechi tisa kumaliza msimu wa 2014-15 wa Ligi Kuu England, timu ya Chelsea yenyewe imebakiza mechi 10 na ndiyo yenye matumaini zaidi ya kutwaa ubingwa ikiwa imekaa kileleni kwa siku nyingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri lala salama Ligi Kuu Bara 2013/14

RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza kesho kwa miamba 14 kuanza ngwe ya mwisho ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo ambayo safari yake ilianza Agosti 24, mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria, haki vifanye kazi lala salama Ligi Kuu Bara

HARAKATI za timu 14 katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimefikia patamu kutokana na kila timu kusaliwa na wastani wa mechi kati ya nne hadi tano kabla...

 

10 years ago

Mwananchi

Lala salama ya Ligi Daraja la Kwanza leo

Mzunguko wa lala salama wa Ligi Daraja la Kwanza unaanza leo kwa timu nne kumenyana kwenye viwanja viwili tofauti kujaribu kufufua ndoto za kupanda Ligi Kuu msimu ujao,

 

11 years ago

Mwananchi

Ligi Kuu yenye ushindani mkubwa inahitajika

Miaka ya 1980, tulishuhudia mashirika mengi ya umma yakishiriki kikamilifu kukuza michezo nchini, huku baadhi yakimiliki timu za soka hadi kufikia kucheza michuano mikubwa kama ya Ligi kuu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kura za Lala salama

Kampeni ni ushawishi. Kampeni ni kujikaribisha. Na kampeni ni kukubalika. Ikiwa zimebaki saa chache kufika siku ya siku (day of a day) kuna kila sababu ya kuendelea kufanya kampeni ili uweze kushawishi, kujikaribisha, na kukubalika. Kwa […]

The post Kura za Lala salama appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya lala salama

Dar es Salaam. Kwa mara kwanza Bajeti ya 2015/16, ambayo ni ya mwisho ya Serikali ya Awamu ya Nne, haijaongeza kodi katika bidhaa za pombe na sigara, badala yake imeendelea kupandisha kodi katika mafuta huku ikiminya uingizaji wa bidhaa nchini kwa ajili ya kulinda viwanda na wazalishaji wa ndani na kuongeza ajira.

 

11 years ago

Habarileo

Ni Bajeti ya lala salama

BAJETI Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 19.87, imewasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, huku ikiwabana wananchi katika bidhaa na huduma za starehe, na kipaumbele kikubwa kikiwa elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani