Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Martin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo

Na Sultani Kipingo Goli la kusawazisha lililofungwa kwa kichwa na Martin Skrtel (pichani) dakika saba ndani ya muda wa nyongeza leo umewapa Liverpool ushindi waliostahili dhidi ya Arsenal katika uwanja wao wa nyumbani wa Anfield. 
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal. 
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Exclusie gossip: Aunty Ezekiel ‘Kimeeleweka’ aanika tumbo lake dakika za lala salama

11161351_835228589847347_4247360256634853261_nPicha ya aliyoitupia mapema leo asubuhi kupitia IG yake ya AuntyEzekiel  ambayo hadi sasa imeshapata LIKES nyingi pamoja na Comments huku watu wakimuombea.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda ulipata kusikia habari za Staa wa filamu za kibongo, ‘Bongo Movie’ Aunt Ezekiel    ambaye kwenye mtandao wake wa kijamii wa Intagram anatumia IG Auntyezekiel, mapema asubui ya leo Aprili 30, kupitia IG hiyo ametupia picha ya tumbo lake. (Tazama picha hapo juu).

Hata hivyo katika picha hiyo, Aunty...

 

11 years ago

GPL

DUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI

Stori:Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amewatoa nishai viongozi wa Bongo Muvi kwa kueleza kuwa, risala iliyosomwa siku ya ‘bethidei’ yao ya kutimiza miaka mitatu imepotosha ukweli. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema ameshangaa kusikia kwenye risala hiyo kuwa waanzilishi wa umoja huo ni Kanumba, Sajuki,...

 

10 years ago

Mwananchi

Lala salama ya Ligi Daraja la Kwanza leo

Mzunguko wa lala salama wa Ligi Daraja la Kwanza unaanza leo kwa timu nne kumenyana kwenye viwanja viwili tofauti kujaribu kufufua ndoto za kupanda Ligi Kuu msimu ujao,

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya lala salama

Dar es Salaam. Kwa mara kwanza Bajeti ya 2015/16, ambayo ni ya mwisho ya Serikali ya Awamu ya Nne, haijaongeza kodi katika bidhaa za pombe na sigara, badala yake imeendelea kupandisha kodi katika mafuta huku ikiminya uingizaji wa bidhaa nchini kwa ajili ya kulinda viwanda na wazalishaji wa ndani na kuongeza ajira.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kura za Lala salama

Kampeni ni ushawishi. Kampeni ni kujikaribisha. Na kampeni ni kukubalika. Ikiwa zimebaki saa chache kufika siku ya siku (day of a day) kuna kila sababu ya kuendelea kufanya kampeni ili uweze kushawishi, kujikaribisha, na kukubalika. Kwa […]

The post Kura za Lala salama appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzunguko wa Lala salama

Baada ya kuwa katika mapumziko ya takribani miezi mitatu, Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo inaingia katika mzunguko wa pili wa lala salama, ambapo nyasi za viwanja vinne zitahitaji maji ili kuzima moto wa timu nane zitakazoshuka dimbani kukwaana.

 

11 years ago

Habarileo

Ni Bajeti ya lala salama

BAJETI Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 19.87, imewasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, huku ikiwabana wananchi katika bidhaa na huduma za starehe, na kipaumbele kikubwa kikiwa elimu.

 

9 years ago

Habarileo

Wiki ya kampeni za lala salama

JUMAPILI ijayo Watanzania wote wenye sifa ya kupiga kura, watatumia haki yao hiyo kuchagua viongozi wa Taifa hili katika nafasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani nchi nzima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani