HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yg6g7QIgmRI/VjX80w-O55I/AAAAAAAID1U/-OnVmPSCmNc/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Mchezaji wa Simba Hamis Kiiza(kushoto)akiwaonesha mashabiki wa timu yake mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/- aliyokadhiwa na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)ambao ni wadhamini wakuu wa lihi hiyo kwa kuibuka mchezaji bora wa ligi wa mwezi septemba wakati wa mechi ya timu hiyo na Majimaji iliyochezwa mwishoni mwa wiki ambapo timu yake ilishinda 6-1.Wengine katika picha wapili toka kushoto ni Meneja biashara wa TFF,Peter Simon na Ofisa Udhamini na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
GPLWADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykVc-Kq2H7egNsxJQ-ERsUR8fWTyF1x7caUXAyhFGCHLAx*eakWxbea-s8Y0*Ox8N4cvfYbOB2Rr6wxrTqiMKbBN/001.TUZOTANGA.jpg?width=650)
JOSEPH MAHUNDI WA COSTAL UNION AKABIDHIWA KOMBE NA KITITA CHAKE NA VODACOM TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9RMPnzGGkY0/VRAeaDVMpJI/AAAAAAAHMcc/Uf3zyBBb570/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MCHEZAJI JOSEPH MAHUNDI WA COSTAL UNION AKABIDHIWA KOMBE NA KITITA CHAKE NA VODACOM TANZANIA
Mahundi, kiungo fundi aliyekulia kwenye kituo cha Azam FC jijini Dar es Salaam, aliibuka Mchezaji Bora wa Mwezi Desemba 2014 wa VPL akiwa ni mchezaji wa nne kutwaa tuzo hiyo tangu ianzishwe msimu huu na kampuni hiyo.
Makamu wa Rais wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFlfVPemD6qFml38j6b8d-D6NVaF7CfHX8346bwoS2loC5zYclaQaXXPGwMSI4Aq8qHhxmP65be15WLS5ud3UdFO/HAMISIKIIZA.jpg?width=650)
VODACOM KUMKABIDHI KIIZA KITITA CHAKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g94tpcG6i_A/VNI2C5UvGPI/AAAAAAAHBrw/ZhLwhpAGcqY/s72-c/001.UWEZO.jpg)
ALIYEJISHINDIA MILIONI 100 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-g94tpcG6i_A/VNI2C5UvGPI/AAAAAAAHBrw/ZhLwhpAGcqY/s1600/001.UWEZO.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9ozIPsjL7Ck/VRVZlWAAn1I/AAAAAAAHNoo/6wchbTZTkZw/s72-c/001.ZUWENA.jpg)
MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/- ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9ozIPsjL7Ck/VRVZlWAAn1I/AAAAAAAHNoo/6wchbTZTkZw/s1600/001.ZUWENA.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OfvubK0P8n4/VRVZlnqjhSI/AAAAAAAHNoc/grTjPzBaUX0/s1600/003.ZUWENA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZAocyRkZQX5nBLR4TGu9paEVa-*rkjPXbOaUnpDsyTa1p0fk4pOOPVT*qVUiF*PSrIUA-yJ-XEeheQKn6Z50u3/004.KATAVI.jpg?width=650)
MKULIMA WA KATAVI ALIYEJISHINDIA MILIONI 10 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE