Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M
Klabu 14 zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zitavuna Sh 180 Milioni kwa mwaka kutoka kwa wadhamini mbalimbali wa ligi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa
KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.
Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika na kuwataka wadhamini...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji
KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao
10 years ago
Mwananchi06 Jul
LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...