Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M

Klabu 14 zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zitavuna Sh 180 Milioni kwa mwaka kutoka kwa wadhamini mbalimbali wa ligi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Tanzania

Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa

KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.

Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana  jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko  na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.

Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika  na kuwataka wadhamini...

 

9 years ago

Habarileo

Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji

KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

9 years ago

Mwananchi

Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine

Wiki iliyopita, wadhamini wa Ligi Kuu, Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom walitangaza dau ambalo timu zinazoshiriki Ligi Kuu zitapata msimu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao

Hakuna binadamu yeyote duniani asiyependa kufanikiwa katika jambo lolote analolifanya ingawa wakati mwingine bahati mbaya hutokea, mtu kushindwa kufanya vyema katika kile alichokipanga.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu

Kwa miaka mingi sasa, klabu mbalimbali za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza zimekuwa zikikwepa kwa makusudi kulipa kodi kinyume na utaratibu kwa mujibu wa sheria za Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

10 years ago

Vijimambo

KLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.

Mgambo JKT.
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.


Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.


Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.

Kikosi cha Prison.

Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani