Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao

Hakuna binadamu yeyote duniani asiyependa kufanikiwa katika jambo lolote analolifanya ingawa wakati mwingine bahati mbaya hutokea, mtu kushindwa kufanya vyema katika kile alichokipanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Klabu Ligi Kuu kuvuna Sh180M

Klabu 14 zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zitavuna Sh 180 Milioni kwa mwaka kutoka kwa wadhamini mbalimbali wa ligi hiyo.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Klabu ligi kuu zakabidhiwa vifaa

KLABU zinazoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania Bara, zimekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 490 kutoka Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.

Vifaa hivyo vimekabidhiwa jana  jijini Dar es Salaam kwa wawakilishi wa timu 16 na Mkuu wa Kitengo cha Masoko  na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twissa.

Alizungumza wakati wa hafla hiyo, Twissa alisema wameigia mkataba wa kudhamini ligi hiyo kwa miaka mitatu baada ya ule wa awali kumalizika  na kuwataka wadhamini...

 

9 years ago

Habarileo

Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji

KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota Ligi Kuu England kuivaa Stars

 Kiungo nyota wa klabu ya West Bromwich inayoahiriki Ligi Kuu England, Stephan Sessegnon ataiongoza Benin kuikabili Taifa Stars, Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Klabu za Ligi Kuu ziamke, zisake wadhamini wengine

Wiki iliyopita, wadhamini wa Ligi Kuu, Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom walitangaza dau ambalo timu zinazoshiriki Ligi Kuu zitapata msimu ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara

Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza Jumamosi hii huku wadau wengi wa soka wakitaka kuona ni timu gani itafanya vizuri na kutwaa ubingwa kutokana na maandalizi iliyofanya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sioni haja ya ukomo nyota wageni timu za Ligi Kuu

KUMEKUWEPO na maoni tofauti juu ya idadi ya wachezaji wa kigeni katika timu za Ligi Kuu nchini; kwa wengine kupendekeza wawe wengi zaidi kuongeza ushindani wa kupata namba katika kikosi...

 

9 years ago

Mwananchi

Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu

Wakati dirisha la usajili likifungwa leo saa 6 usiku klabu  mbalimbali zikiwa zimekamilisha harakati zao za usajili tayari kwa kuanza msimu mpya wa ligi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani