Sioni haja ya ukomo nyota wageni timu za Ligi Kuu
KUMEKUWEPO na maoni tofauti juu ya idadi ya wachezaji wa kigeni katika timu za Ligi Kuu nchini; kwa wengine kupendekeza wawe wengi zaidi kuongeza ushindani wa kupata namba katika kikosi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu
Meneja wa Manchester Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Wageni wa Ligi Kuu mmeiona Mbeya City?
Hivi karibuni, timu za Polisi Moro, Stand United ya Shinyanga na Ndanda United ya Mtwara zilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara baada ya kufanya vizuri katika mechi zao.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Nyota Ligi Kuu England kuivaa Stars
 Kiungo nyota wa klabu ya West Bromwich inayoahiriki Ligi Kuu England, Stephan Sessegnon ataiongoza Benin kuikabili Taifa Stars, Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara
Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza Jumamosi hii huku wadau wengi wa soka wakitaka kuona ni timu gani itafanya vizuri na kutwaa ubingwa kutokana na maandalizi iliyofanya.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao
Hakuna binadamu yeyote duniani asiyependa kufanikiwa katika jambo lolote analolifanya ingawa wakati mwingine bahati mbaya hutokea, mtu kushindwa kufanya vyema katika kile alichokipanga.
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu
Wakati dirisha la usajili likifungwa leo saa 6 usiku klabu mbalimbali zikiwa zimekamilisha harakati zao za usajili tayari kwa kuanza msimu mpya wa ligi hiyo.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Nyota wa Ligi Kuu Bara ambao kadi hazichezi mbali nao
Milango ya Ligi Kuu Bara ipo wazi na timu zinatarajiwa kushuka dimbani mwishoni mwa wiki hii kuanza mbio za kuwania ubingwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania