Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu

Kwa miaka mingi sasa, klabu mbalimbali za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza zimekuwa zikikwepa kwa makusudi kulipa kodi kinyume na utaratibu kwa mujibu wa sheria za Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.

Mgambo JKT.
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.


Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.


Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.

Kikosi cha Prison.

Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara

Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo za ligi kuu Tanzania bara

Makocha Hans Plujim na Goran Kopunovic, wanagombea tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara

 

10 years ago

Mwananchi

Kikosi bora cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2014/15

>Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 imemalizika juzi huku Yanga ikitwaa ubingwa na Polisi Moro pamoja na Ruvu Shooting zikishuka daraja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo

Ligi Kuu Tanzania bara Itaendelea tena leo katika viwanja saba ikiwa ni michezo ya mzunguko wa pili

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo

Ligi kuu ya Tanzania bara, Vodacom inaanza mzunguko wa pili leo baada ya kusimama tangu Novemba saba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndanda FC na mikakati Ligi Kuu Tanzania Bara

HISTORIA ya soka ya Mkoa wa Mtwara ni kama imeandikwa upya baada ya timu ya Ndanda FC kuwapa faraja wapenzi na mashabiki wa soka ya kuona Ligi Kuu Tanzania bara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani