LIGI KUU TANZANIA BARA : Kimbembe cha kodi kutikisa klabu
Kwa miaka mingi sasa, klabu mbalimbali za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza zimekuwa zikikwepa kwa makusudi kulipa kodi kinyume na utaratibu kwa mujibu wa sheria za Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Tuzo za ligi kuu Tanzania bara
Makocha Hans Plujim na Goran Kopunovic, wanagombea tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara
10 years ago
Mwananchi11 May
Kikosi bora cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2014/15
>Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 imemalizika juzi huku Yanga ikitwaa ubingwa na Polisi Moro pamoja na Ruvu Shooting zikishuka daraja.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
Ligi Kuu Tanzania bara Itaendelea tena leo katika viwanja saba ikiwa ni michezo ya mzunguko wa pili
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo
Ligi kuu ya Tanzania bara, Vodacom inaanza mzunguko wa pili leo baada ya kusimama tangu Novemba saba.
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Ndanda FC na mikakati Ligi Kuu Tanzania Bara
HISTORIA ya soka ya Mkoa wa Mtwara ni kama imeandikwa upya baada ya timu ya Ndanda FC kuwapa faraja wapenzi na mashabiki wa soka ya kuona Ligi Kuu Tanzania bara...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania