Ndanda FC na mikakati Ligi Kuu Tanzania Bara
HISTORIA ya soka ya Mkoa wa Mtwara ni kama imeandikwa upya baada ya timu ya Ndanda FC kuwapa faraja wapenzi na mashabiki wa soka ya kuona Ligi Kuu Tanzania bara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Ndanda kuchele kweli au giza litaendelea?
Mwandishi mashuhuri wa zamani wa vitabu vya upelelezi, Mmarekani James Hadley Chase aliwahi kuandika kitabu alichokiita ‘The way the Cookie crumbles’. Ndani ya hadithi alikuwa anafumbia jinsi ambavyo biskuti tamu ilikaribia kuanguka wakati ikielekea mdomoni.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Tuzo za ligi kuu Tanzania bara
Makocha Hans Plujim na Goran Kopunovic, wanagombea tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dyamwale: Muasisi wa Ligi Kuu Tanzania Bara
“Mwaka 1977 ndipo Ligi Kuu Bara ilianza. Kuanza kwa ligi hiyo ilikuwa ni moja ya mipango yangu nilipochaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Tanzania (FAT), sasa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
Ligi Kuu Tanzania bara Itaendelea tena leo katika viwanja saba ikiwa ni michezo ya mzunguko wa pili
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo
Ligi kuu ya Tanzania bara, Vodacom inaanza mzunguko wa pili leo baada ya kusimama tangu Novemba saba.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Matatizo sugu ya Ligi Kuu Tanzania Bara
Ligi Kuu Tanzania Bara hivi sasasa imesimama huku Azam FC ikiwa kileleni ikifuatiwa kwa ukaribu na Yanga wakati timu za African Sports na JKT Ruvu zikining’inia mkiani mwa ligi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania