Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake
Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametamka kwamba baadhi ya wachezaji wake hawakufuata maelekezo katika zoezi la upigaji wa penalti ambazo ziliwaondoa mashindanoni, huku mshambuliaji wake Kipre Tchetche akikataa kupiga penalti hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jul
BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpkrM-0AXKQ12zWr5Zyf6N2MBge6z9hi65roz6Hu0PJBnJZnLEMWbp348OhCNQGKfgDP-Akca6UmvJun80L1grN/AMRIKIEMBA.jpg?width=650)
USAJILI: AZAM YAWARUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOMALIZA MIKATABA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VwiSJLEXcZo/VPSOyncsdDI/AAAAAAAHHKk/cZja3Bv-OmY/s72-c/azam3.jpg)
Azam yamfungashia virago kocha wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-VwiSJLEXcZo/VPSOyncsdDI/AAAAAAAHHKk/cZja3Bv-OmY/s1600/azam3.jpg)
Katika taarifa ya uongozi huo waliyotoa jioni jioni hii,uongozi huo haujatoa sababu yoyote ya kuachana na Omong ambaye wamekuwa nae kwa miezi 14.
Hata hivyo habari ambazo Globu ya Jamii imezipata zinasema kuwa uongozi wa Azam umeamua kumtupia virago Omong kutokana na kufanya vibaya kwenye michuano ya Klabu bingwa Afrika...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Kocha akerwa na mapambo ya wachezaji
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
LULU Awashukia Baadhi ya “followers” Wake Wanaomdisi!!!
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael aka Lulu, mwenye “followers” zaidi ya laki tatu kwenye mtandao wa INSTAGRAM, leo ameibuka na kuwapa makavu baadhi ya followers wake ambao wamekuwa waki-mdis eti aweki vitu vya maana….Lulu awambia…
“Pipo always have smthng to complain.....Sasa MTU Na akili yake timamu anakuja ku comment on my post ohhhh Weka vitu vya maana kweli!?nwei kwasababu SIKO ktk harakati za kubishana au kugombana nitatoa ushauri tu.....
1.hiyo button Ya Ku follow Cdhani kama...
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Kocha mashakani kwa kuwabagua wachezaji
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Wachezaji Coastal Union wamkuna Kocha Chipo
KOCHA wa timu ya Coastal Union ya Tanga, Yusuf Chipo amesema ameridhika na kiwango cha vijana wake baada ya kuwafunga Shaba FC ya Pemba mabao 5-1 katika mechi ya kirafiki...