LULU Awashukia Baadhi ya “followers” Wake Wanaomdisi!!!
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael aka Lulu, mwenye “followers” zaidi ya laki tatu kwenye mtandao wa INSTAGRAM, leo ameibuka na kuwapa makavu baadhi ya followers wake ambao wamekuwa waki-mdis eti aweki vitu vya maana….Lulu awambia…
“Pipo always have smthng to complain.....Sasa MTU Na akili yake timamu anakuja ku comment on my post ohhhh Weka vitu vya maana kweli!?nwei kwasababu SIKO ktk harakati za kubishana au kugombana nitatoa ushauri tu.....
1.hiyo button Ya Ku follow Cdhani kama...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s72-c/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-hF31dHh7cbI%2FVK3B8jmgUSI%2FAAAAAAADVFQ%2FnfFpoWZu7bM%2Fs1600%2F10838621_331233430416796_227606700_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JDwXGO9MVB8%2FVK3B8u6wkTI%2FAAAAAAADVFM%2FY5nwrYVWzUc%2Fs1600%2F10899114_641008079338681_1343568482_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s1600/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8MvZOZHb8A/VK3B9LrFbMI/AAAAAAADVFU/ahV70KiPkms/s1600/10914612_1614601382093096_849779325_n.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Serikali yakiri baadhi ya watumishi wake bomu
NA MIRIAM SARAKIKYA, EMAGS
SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya huduma zinazotolewa katika sekta ya umma haziridhishi na hazikidhi viwango.
Pia imesema yapo matatizo ya rushwa na ucheleweshaji wa uamuzi kwa watendaji, bila ya sababu za msingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi aliyasema hayo jana, Dar es Salaam, alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala nchini.
Alisema upo ubabaishaji unaofanywa na baadhi ya watumishi ambao wanakiuka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OBVF16y-PPJ8lsovfhl7eyxfbSGQ8jvBngIjFJnV4Fxm9MVZRU6b9ganol6Wyjyshr4cM*H*cRj4BbIhK-XQsq42Box7A*fU/breakingnews.gif)
PROF. LIPUMBA NA BAADHI YA WANACHAMA WAKE WAKAMATWA NA POLISI
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
INASIKITISHA SANA: Hiki kitendo alichofanyiwa WASTARA na baadhi mashabiki wake si uungwana
“…Nilitukanwa sana jana kwa kuwish wenzangu kheri ya xmass na kuonekana sina dini... Niseme kitu kimoja wasanii kwenye mitandao hatupo kwa ajili ya kutangaza dini tupo kwa ajili ya kutangaza kazi zetu na kuwa karibu na nyinyi mashabiki wetu.
Pili kazi yangu hainunuliwi na watu wa dini moja tu mi nafikiri uvivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau kuwa msanii ni nani ndio unawafanya maneno mengi yawatoke, mi msanii sio mwana zuoni msinivike taji lisilo kuwa langu, kama mahodari wa kufundisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQykxR3cVykaBL9h0vaaxMAGO7kuxhap5gv3CmTljzWgMWmlUhkAKZuEzAxIPEndj*gGlKSRvMAjRSjmjKnv7aw/LULU.jpg)
LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE
11 years ago
Bongo505 Jul
Vanessa Mdee adai aliachia ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya watu kuponda ushindi wake wa KTMA