PROF. LIPUMBA NA BAADHI YA WANACHAMA WAKE WAKAMATWA NA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/OBVF16y-PPJ8lsovfhl7eyxfbSGQ8jvBngIjFJnV4Fxm9MVZRU6b9ganol6Wyjyshr4cM*H*cRj4BbIhK-XQsq42Box7A*fU/breakingnews.gif)
Prof. Lipumba akihutubia. TAARIFA zilizotufikia ni kwamba Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba na wanachama wake wamekamatwa na kupigwa na Jeshi la Polisi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushtushwa na tukio hilo la kupigwa na kukamatwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA Prof. Lipumba. Uongozi wa juu wa Chadema pamoja na mawakili wa chama hicho wameelekea Kituo Kikuu cha Polisi, Dar kwa ajili ya tukio hilo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gKY8URbH3Lk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s72-c/breaking%2Bnews.jpg)
BREAKING NEWS: MKUTANO WA PROF. LIPUMBA WAHAIRISHWA BAADA YA WANACHAMA KUZINGIRA OFISI YA CHAMA HICHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s640/breaking%2Bnews.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/12/lipumba.jpg)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yTETZBxy_Go/VMeGKuAKQ3I/AAAAAAABD1s/MnUO-Mjthno/s72-c/10897978_678282712282706_5939579278398548602_n.jpg)
PICHA VURUGU ZA LEO TEMEKE HUKU PROF LIPUMBA AKIPIGWA VIBAYA NA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-yTETZBxy_Go/VMeGKuAKQ3I/AAAAAAABD1s/MnUO-Mjthno/s640/10897978_678282712282706_5939579278398548602_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Jan
Taarifa iliyotolewa na Serikali kuhusu ishu ya kukamatwa kwa Prof. Lipumba na wafuasi wake
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Lipumba-Under-Arrest.jpg?resize=487%2C242)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/bunge_clip.jpg?resize=526%2C265)
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Lipumba awanusuru vijana wake na kipigo cha polisi
Na Elizabeth Mjatta na Asifiwe George
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amezuia maandamano ya Jumuia ya Vijana wa chama hicho Taifa (JUVICUF) kwa kile alichokieleza kuwa ni hofu yake ya kupigwa , kuumizwa na hata kuuawa na Jeshi la Polisi waliokuwa wamejipanga kuzima maandamano yao.
JUVICUF walipanga kuandamana kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuishinikiza kuongeza muda wa uandikishaji katika daftari la wapiga kura.
Maandamano hayo pia yangefika hadi...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba
10 years ago
Vijimambo09 Oct
Prof. Lipumba kunguruma Mtwara
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/6/69/Ibrahim_Lipumba.jpg)
Kiongozi huyo ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini Oktoba 13, mwaka huu.
Akizungumza na NIPASHE katika ofisi za CUF...