Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJUMBE NA WANACHAMA WA CUF WATAKA KUJUA HATMA YA MWENYEKITI WAO,PROF LIPUMBA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba na wanachama wengine wakiwa eneo la mahakama. MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kujibu tuhuma za kukiuka agizo la jeshi la polisi na kuandamana. Lipumba na wanachama  wengine 32  wanatuhumiwa kufanya… ...

 

10 years ago

GPL

PROF. LIPUMBA NA BAADHI YA WANACHAMA WAKE WAKAMATWA NA POLISI

Prof. Lipumba akihutubia. TAARIFA zilizotufikia ni kwamba Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba na wanachama wake wamekamatwa na kupigwa na Jeshi la Polisi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushtushwa na tukio hilo la kupigwa na kukamatwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA Prof. Lipumba. Uongozi wa juu wa Chadema pamoja na mawakili wa chama hicho wameelekea Kituo Kikuu cha Polisi, Dar kwa ajili ya tukio hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba

>Wanachama 34 wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepiga kura za kuwakataa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.

 

10 years ago

Mwananchi

Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba leo ametangaza kujiuzulu uenyekiti ndani ya chama hicho.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde, inaeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi -CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza kujiuzuli wadhifa wake huo mbele ya Waandishi wa habari kwenye `hoteli ya Peacock, Jijini Dar es salaam leo.
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.

 

10 years ago

Raia Mwema

Prof Lipumba ameisaidia Cuf na yeye mwenyewe kwa kujiuzulu

ILIKUWA ni mwanzo mpya mzuri kwa Chama cha Wananchi (CUF) kufanya siasa za ushirikiano katika Umo

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

IPPmedia

Police arrest Prof Lipumba, CUF members over 'illegal demonstration'


Police arrest Prof Lipumba, CUF members over 'illegal demonstration'
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have arrested Civil United Front (CUF) National Chairman, Prof Ibrahim Lipumba and 32 other party followers allegedly for holding a demonstration without permission. The party followers who were marching in memory of their fellow ...

 

10 years ago

GPL

PROF. LIPUMBA AMECHOSHWA NA UKAWA AU CHAMA CHAKE CHA CUF?

NASHANGAA, kwa nini msomi kama Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anatafuta uongo kuuficha utashi wake ambao kimsingi ndiyo uliomfanya awe mwanamageuzi na kukubali kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf)? Usomi siyo kuwa na vyeti ni uwezo au maarifa ya kukabiliana na changamoto za maisha. Nilitaraji kumuona Prof. Lipumba akifikia tafsiri hii baada ya kubaini kuwa Umoja wa Katiba ya Mwananchi (Ukawa) alimokitumbukiza chama chake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani