WAJUMBE NA WANACHAMA WA CUF WATAKA KUJUA HATMA YA MWENYEKITI WAO,PROF LIPUMBA
![](http://img.youtube.com/vi/gKY8URbH3Lk/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba na wanachama wengine wakiwa eneo la mahakama. MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kujibu tuhuma za kukiuka agizo la jeshi la polisi na kuandamana. Lipumba na wanachama wengine 32 wanatuhumiwa kufanya… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OBVF16y-PPJ8lsovfhl7eyxfbSGQ8jvBngIjFJnV4Fxm9MVZRU6b9ganol6Wyjyshr4cM*H*cRj4BbIhK-XQsq42Box7A*fU/breakingnews.gif)
PROF. LIPUMBA NA BAADHI YA WANACHAMA WAKE WAKAMATWA NA POLISI
Prof. Lipumba akihutubia. TAARIFA zilizotufikia ni kwamba Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba na wanachama wake wamekamatwa na kupigwa na Jeshi la Polisi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushtushwa na tukio hilo la kupigwa na kukamatwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA Prof. Lipumba. Uongozi wa juu wa Chadema pamoja na mawakili wa chama hicho wameelekea Kituo Kikuu cha Polisi, Dar kwa ajili ya tukio hilo...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba
>Wanachama 34 wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepiga kura za kuwakataa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba leo ametangaza kujiuzulu uenyekiti ndani ya chama hicho.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s72-c/lipumba%252Bpx.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s640/lipumba%252Bpx.jpg)
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Prof Lipumba ameisaidia Cuf na yeye mwenyewe kwa kujiuzulu
ILIKUWA ni mwanzo mpya mzuri kwa Chama cha Wananchi (CUF) kufanya siasa za ushirikiano katika Umo
Mwandishi Wetu
10 years ago
IPPmedia28 Jan
Police arrest Prof Lipumba, CUF members over 'illegal demonstration'
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have arrested Civil United Front (CUF) National Chairman, Prof Ibrahim Lipumba and 32 other party followers allegedly for holding a demonstration without permission. The party followers who were marching in memory of their fellow ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1ldAlo9OzSGZ7mZTSZz*V-PGueCBIaGi0XB2RPUIwduJIezCBq7fJgLVcOKybl59g5ZcWs7Ni3QgO9F*Y4Xc6BfC/Lipumba.gif?width=650)
PROF. LIPUMBA AMECHOSHWA NA UKAWA AU CHAMA CHAKE CHA CUF?
NASHANGAA, kwa nini msomi kama Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anatafuta uongo kuuficha utashi wake ambao kimsingi ndiyo uliomfanya awe mwanamageuzi na kukubali kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf)? Usomi siyo kuwa na vyeti ni uwezo au maarifa ya kukabiliana na changamoto za maisha. Nilitaraji kumuona Prof. Lipumba akifikia tafsiri hii baada ya kubaini kuwa Umoja wa Katiba ya Mwananchi (Ukawa) alimokitumbukiza chama chake...
10 years ago
GPL04 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania