BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s72-c/lipumba%252Bpx.jpg)
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde, inaeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi -CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza kujiuzuli wadhifa wake huo mbele ya Waandishi wa habari kwenye `hoteli ya Peacock, Jijini Dar es salaam leo.
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B2Asp-roYE/VMNqpdllB9I/AAAAAAAG_UM/VtkXKZH0hzs/s72-c/IMG-20150124-WA0056.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: PROFESA SOSPETER MUHONGO ABWAGA MANYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B2Asp-roYE/VMNqpdllB9I/AAAAAAAG_UM/VtkXKZH0hzs/s1600/IMG-20150124-WA0056.jpg)
Ila kasema ameamua kujiuzulu kwa kile alichotaja kuiachia serikali na Bunge kusitisha malumbano ya sakata la Escrow, akidai inaonekana yeye ndiyo tatizo. Stay tuned for more....
10 years ago
VijimamboBAADA YA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KUJIUZULU UWENYEKITI, UONGOZI WA CUF ZANZIBAR WATOA TAMKO
Jana tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kikwete abwaga manyanga
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...
11 years ago
Mwananchi09 May
Pluijm abwaga manyanga
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Paulo Wanchope abwaga manyanga
9 years ago
Habarileo13 Nov
Matola abwaga manyanga Simba
HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcGmMvoAAgk/U1pGx0zGoPI/AAAAAAAFc-0/0HkJ8PNdd6w/s72-c/NEMBO+YA+COASTAL+UNION.jpg)
Msemaji wa Timu ya Coastal Union abwaga manyanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcGmMvoAAgk/U1pGx0zGoPI/AAAAAAAFc-0/0HkJ8PNdd6w/s1600/NEMBO+YA+COASTAL+UNION.jpg)
Miongoni mwa sababu nyingi zilizonifanya kutangaza uamuzi huo ni sintofahamu iliyozuka ndani ya klabu yetu, kwa taaluma yangu ya uandishi wa habari lazima niwe na msimamo juu ya mambo yanayoendelea kwenye jamii.
Ili niendelee kufanya kazi na klabu hii kwa wakati huu wa misuguano, lazima niwe na upande; kwa maana upande unaounga mkono uongozi ama upande...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s72-c/kitenge%2Bmau.jpg)
Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s1600/kitenge%2Bmau.jpg)