BAADA YA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KUJIUZULU UWENYEKITI, UONGOZI WA CUF ZANZIBAR WATOA TAMKO
Kaimu Mkurugenzi wa Habari Uenezi na Mawasiliano na Umma Mhe. Ismail Jussa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kadhia ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicha Profesa Ibrahim Lipumba, aliotangaza jana jijini Dar es Salaam kujiuzulu kwake kwa nafasi hiyo na kubaki kama mwanachama tu wa CUF, mkutano huo umefanyika katika Afisi za CUF Vuga Zanzibar
Jana tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Profesa Ibrahim Lipumba ajiuzulu nyazifa zote CUF na UKAWA, abaki mwanachama wa kawaida
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/136.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock leo jijini Dar es salaam wakati akitangaza kujuuzulu nyazifa zake zote katika chama hicho na kubaki mwanachama wa kawaida kutokana kile alichokiita dhamira inamsuta.(NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM).
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba akionyesha rasimu ya katiba iliyoandaliwa na tume ya katiba mpya iliyokuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA JAMES MBATIA NCCRA MAGEUZI NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA CUF IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9FsEyEZyHGI/Xl41VXrW3zI/AAAAAAACz9w/IDic8dm5eukTX4ptXlTPrYWPeQD-4yIsACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m7-TxEbYDfo/Xl41Uz4lY-I/AAAAAAACz9s/VzUfNV6Qm7Q5VyB1RlgDMNuEHkKIMbY_QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
9 years ago
Global Publishers29 Dec
CUF watoa tamko Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-cu_iEIq_wZo/VoJdI85EtJI/AAAAAAAAs5w/R-KdXiW1cCo/s1600/1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa habari, uenezi na mawasiliano kwa umma Ismail Jussa.
Kufuatia taarifa iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho iliyokutana Zanzibar juzi, tarehe 27 Desemba, 2015, waandishi wengi wa habari wametupigia simu wakitaka kujua Chama Cha Wananchi (CUF) kimepokea vipi taarifa ile.
Vikao vya CCM ni vikao vya CCM. Si kawaida yetu kutolea taarifa maamuzi ya vikao vya vyama vyengine. Hata hivyo,...
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Mtikisiko: Ni baada ya Profesa Lipumba kujiengua uenyekiti CUF
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mbatia.jpg?resize=702%2C336)
Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s72-c/lipumba%252Bpx.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s640/lipumba%252Bpx.jpg)
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Profesa Ibrahim Lipumba aifunda Chadema Dar
5 years ago
The Citizen Daily17 Mar
'Agriculture way forward'- CUF chairman Ibrahim Lipumba