RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA JAMES MBATIA NCCRA MAGEUZI NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA CUF IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo ya faragha na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA PROFESA LIPUMBA PAMOJA NA JAMES MBATIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UEf2M4XWOSo/Xl411wXM4sI/AAAAAAALgr0/h4Tn2V2lxPUXZPUrU_a6Zmz4C_noaZaJwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NkruX-6nIOw/Xl411MkDQyI/AAAAAAALgrw/RezjG1FxynUJr6EWHB9pgZpovLk-SINYACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-15mOeaBDcWk/Xl417uj5lLI/AAAAAAALgsE/e5m0nnf6kN4Slt_z3X9ooOYcCP-azALXQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-92K8JMcefKg/Xl6U9xSwDqI/AAAAAAACIEM/HKvm_4s0y_Mw9MYkY326f47Cc6p_jqDdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA KINA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD,PROF LIPUMBA NA MBATIA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-92K8JMcefKg/Xl6U9xSwDqI/AAAAAAACIEM/HKvm_4s0y_Mw9MYkY326f47Cc6p_jqDdwCLcBGAsYHQ/s320/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli amefanya mazungumzo na...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-cvYmI58Du2Y/VlwsxXzw4HI/AAAAAAAA1V4/f51WeNULJ2M/s72-c/IMG-20151130-WA0034.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FpbUY9yEaBs/XlO8uB64kHI/AAAAAAALfDo/bbX5DUUVjk8oKbYJQXyvBBrcck3RWfzBwCLcBGAsYHQ/s72-c/G1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MJUMBE MAALUMU WA KANSELA WA UJERUMANI NA PROFESA PLO LUMUMBA IKULU JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-FpbUY9yEaBs/XlO8uB64kHI/AAAAAAALfDo/bbX5DUUVjk8oKbYJQXyvBBrcck3RWfzBwCLcBGAsYHQ/s640/G1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hbvFYOT6rBw/XlO8uFzhAUI/AAAAAAALfDs/I5hZD8z68lYCZ-oOkX2mHRrOxlhJjAOeACLcBGAsYHQ/s640/G2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Profesa Ibrahim Lipumba ajiuzulu nyazifa zote CUF na UKAWA, abaki mwanachama wa kawaida
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/136.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock leo jijini Dar es salaam wakati akitangaza kujuuzulu nyazifa zake zote katika chama hicho na kubaki mwanachama wa kawaida kutokana kile alichokiita dhamira inamsuta.(NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM).
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba akionyesha rasimu ya katiba iliyoandaliwa na tume ya katiba mpya iliyokuwa...
10 years ago
VijimamboBAADA YA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KUJIUZULU UWENYEKITI, UONGOZI WA CUF ZANZIBAR WATOA TAMKO
Jana tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es...
9 years ago
MichuziRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA WAGENI MBALIMBALI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mbatia.jpg?resize=702%2C336)
Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HblN9cnXRBM/VmaytBoL8eI/AAAAAAAIK5A/85afuCwCvVk/s72-c/ma1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI WA MALAWI NA SWEDEN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HblN9cnXRBM/VmaytBoL8eI/AAAAAAAIK5A/85afuCwCvVk/s640/ma1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8wnxSmzXlAU/VmaywA-L-5I/AAAAAAAIK5I/LJlWsU4qrhU/s640/ma2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ParLjpIa4cY/Vmayv6hxdyI/AAAAAAAIK5M/s1jbuUlD1hA/s640/ma3.jpg)