Msemaji wa Timu ya Coastal Union abwaga manyanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcGmMvoAAgk/U1pGx0zGoPI/AAAAAAAFc-0/0HkJ8PNdd6w/s72-c/NEMBO+YA+COASTAL+UNION.jpg)
MIMI Hafidh Athumani Kido, nikiwa na akili timamu natangaza kutojihusisha na shughuli zote za Coastal Union, hasa usemaji wa klabu.
Miongoni mwa sababu nyingi zilizonifanya kutangaza uamuzi huo ni sintofahamu iliyozuka ndani ya klabu yetu, kwa taaluma yangu ya uandishi wa habari lazima niwe na msimamo juu ya mambo yanayoendelea kwenye jamii.
Ili niendelee kufanya kazi na klabu hii kwa wakati huu wa misuguano, lazima niwe na upande; kwa maana upande unaounga mkono uongozi ama upande...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Assenga msemaji mpya Coastal Union
MWANDISHI wa habari wa Kampuni ya New Habari Cooperation Mkoa wa Tanga, Oscar Assenga, ameteuliwa kuwa msemaji mpya wa klabu ya Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ yenye makazi yake barabara...
11 years ago
Mwananchi09 May
Pluijm abwaga manyanga
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kikwete abwaga manyanga
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...
9 years ago
Habarileo13 Nov
Matola abwaga manyanga Simba
HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Paulo Wanchope abwaga manyanga
10 years ago
MichuziTimu yta Coastal Union kuiburuza Mahakamani Kampunni ya Binslum Tyre
Hali hiyo ni kinyume na utaratibu kutokana na kuwa tayari kampuni hiyo ilishajitoka kufadhili timu hiyo na tayari klabu ya Coastal Union ilikwishapata mfadhili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s72-c/kitenge%2Bmau.jpg)
Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s1600/kitenge%2Bmau.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B2Asp-roYE/VMNqpdllB9I/AAAAAAAG_UM/VtkXKZH0hzs/s72-c/IMG-20150124-WA0056.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: PROFESA SOSPETER MUHONGO ABWAGA MANYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B2Asp-roYE/VMNqpdllB9I/AAAAAAAG_UM/VtkXKZH0hzs/s1600/IMG-20150124-WA0056.jpg)
Ila kasema ameamua kujiuzulu kwa kile alichotaja kuiachia serikali na Bunge kusitisha malumbano ya sakata la Escrow, akidai inaonekana yeye ndiyo tatizo. Stay tuned for more....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s72-c/lipumba%252Bpx.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s640/lipumba%252Bpx.jpg)
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.