BREAKING NEWZZZZ: PROFESA SOSPETER MUHONGO ABWAGA MANYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B2Asp-roYE/VMNqpdllB9I/AAAAAAAG_UM/VtkXKZH0hzs/s72-c/IMG-20150124-WA0056.jpg)
Habari kutoka katika mkutano wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (pichani) na wanahabari ofisini kwake Dar es salaam muda huu zinasema kiongozi huyo ameamua kubwaga manyanga. Sababu na habari kamili ya hili tutawaletea punde baada ya mkutano huo kwisha.
Ila kasema ameamua kujiuzulu kwa kile alichotaja kuiachia serikali na Bunge kusitisha malumbano ya sakata la Escrow, akidai inaonekana yeye ndiyo tatizo. Stay tuned for more....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s72-c/lipumba%252Bpx.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-w421rFdhdwg/VcMW-wSuBrI/AAAAAAAHudg/WNaMy_2A2CA/s640/lipumba%252Bpx.jpg)
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.
10 years ago
Mwananchi01 May
UCHAGUZI CCM 2015: Profesa Sospeter Muhongo, Mbunge wa Kuteuliwa
10 years ago
Michuzi05 Dec
10 years ago
VijimamboProfesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yj51xHFZSLlQw13vrskChjdKkv6SV0vzlqCvWR1*N3aAz1xeDQxruzQCamspeXdVFlmqr7IkUMivjSaZzyqO2dU/unnamed2.jpg?width=650)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI BI. SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqbEEzHHDhc/VDvTGPwj6bI/AAAAAAAGpyY/HUfcOgbvZdo/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Profesa Sospeter Muhongo asaini mkataba wa mradi wa kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya
Mawaziri wanaoshughulikia Nishati kutoka nchi za Zambia, Tanzania na Kenya wakisaini Mkataba wa Makubaliano kuonesha dhamira ya Serikali ya nchi hizo kujenga miundombinu ya pamoja ya kusafirisha umeme na kufanya biashara ya kuuziana umeme wa ziada baina ya nchi hizo.
Na Anitha Jonas, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo jana ametia saini Mkataba wa Mradi kujenga Miundombinu ya kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya (ZTK) katika Mkutano wa Kumi...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kikwete abwaga manyanga
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10