KANUSHO LA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO KWENDA NCHINI NORWAY
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo mapema Machi mwaka huu alikabidhiwa nishani ya kumbukumbu ya Profesa M.O. Oyawoye aliyewahi kuwa Profesa wa kwanza duniani kutoka Bara la Afrika katika masuala ya jiolojia huko nchini Nigeria. Profesa Muhongo alikabidhiwa nishani hiyo na timu ya wanajiolojia kwa kutambua mchango wake mkubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla. Nishani hiyo alikabidhiwa balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe. Daniel Ole Njoolay kwa niaba yake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nDhHGj_0L0A/U24RdHK_K9I/AAAAAAAFgrE/5qkG6kyYLes/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yj51xHFZSLlQw13vrskChjdKkv6SV0vzlqCvWR1*N3aAz1xeDQxruzQCamspeXdVFlmqr7IkUMivjSaZzyqO2dU/unnamed2.jpg?width=650)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APOKEA NISHANI YA HESHIMA NCHINI NIGERIA
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akiwa ofisini kwake huku akiwa amevaa nishani hiyo. Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo mapema Machi mwaka huu alikabidhiwa nishani ya kumbukumbu ya Profesa M.O. Oyawoye aliyewahi kuwa Profesa wa kwanza duniani kutoka Bara la Afrika katika masuala ya jiolojia huko nchini Nigeria. Profesa Muhongo alikabidhiwa nishani hiyo na timu ya wanajiolojia kwa kutambua...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI BI. SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqbEEzHHDhc/VDvTGPwj6bI/AAAAAAAGpyY/HUfcOgbvZdo/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s72-c/1.jpg)
Ufafanuzi Wa Serikali Uliyotolewa Leo Bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo
Ameweka wazi kwamba fedha za Escrow si mali ya umma,bado Serikali inadaiwa
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.
Kauli ya Prof Muhongo inakuja siku moja baada ya Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti...
![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s1600/1.jpg)
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.
Kauli ya Prof Muhongo inakuja siku moja baada ya Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF SOSPETER MUHONGO, AKUTANA NA MR MAYANK BHARGAVA AKIWEMO MR PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
 Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhomgo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA akiwemo mweyeji wake Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao toka Tanzania.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HATIMAYE WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROFESA SOSPITER MUHONGO AJIUZULU
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiongea na wanahabari ofisini kwake leo. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu nafasi hiyo leo ofisini kwake Dar kutokana na sakata la Escrow. Hatimaye Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo amejiuzulu leo jijini Dar es Salaam. Waziri Muhongo amechukua uamuzi huo leo ofisini kwake mbele ya waandishi wa habari. Kujiuzulu kwa Muhongo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10