Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba
>Wanachama 34 wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepiga kura za kuwakataa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gKY8URbH3Lk/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Lipumba, Maalim Seif waongoza tena CUF
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amechaguliwa tena kuendelea na wadhifa huo. Ingawa matokeo kamili ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutangazwa leo, lakini taarifa za awali tulizozipata wakati...
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na wanachama walioomba kugombea nafasi za Ubunge kupitia CUF
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka wagombea wa nafasi mbali mbali ndani ya chama hicho kujenga imani na kamati za uteuzi za kuwapata wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Amesema kamati zote zilizoteuliwa kufanya kazi hiyo zitafanya kazi zake kwa umakini bila ya kujali wadhifa au umaarufu wa mgombea.
Maalim Seif ameeleza hayo katika kikao maalum cha kupeana nasaha na wanachama walioomba kugombea nafasi za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-msxFU5zy2yQ/U6swdrE662I/AAAAAAAFs8M/2Y5nnEKOhQE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF, PROFESA LIPUMBA WAPETA TENA UCHAGUZAI WA CUF, JUMA HAJI DUNI MAKAMU MWENYEKITI
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1dvjgONdeg/VQ7nPLRXu5I/AAAAAAAHMOA/jfx-qJ4EJTA/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL5gBZbwS8c/VQ7nRV5NkII/AAAAAAAHMOU/Ge0grmUQWyY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9i-w94Y6O4/VQ7nQnJsOxI/AAAAAAAHMOM/dVo6dNlFNzw/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE