LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.
Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Maalim Seif mgombea pekee ukatibu mkuu CUF
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Sura mbili za Ibrahim Lipumba ndani ya Cuf na ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku suala hilo likigubikwa na sura mbili na kauli tata za kiongozi huyo.
Profesa Lipumba amefikia uamuzi huo jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kuhitimisha tetesi zilizokuwa zikimuhusisha na kung’atuka katika uongozi wa cha hicho.
Alisema kuwa ameikabidhi Ofisi ya Katibu Mkuu, barua ya kung’atuka nafasi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1ldAlo9OzSGZ7mZTSZz*V-PGueCBIaGi0XB2RPUIwduJIezCBq7fJgLVcOKybl59g5ZcWs7Ni3QgO9F*Y4Xc6BfC/Lipumba.gif?width=650)
PROF. LIPUMBA AMECHOSHWA NA UKAWA AU CHAMA CHAKE CHA CUF?
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0RQxprviUKA/VWtBeAsHIYI/AAAAAAABwhA/EHvv-cCg55I/s72-c/fo1.jpg)
MAALIMU SEIF AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CUF
![](http://2.bp.blogspot.com/-0RQxprviUKA/VWtBeAsHIYI/AAAAAAABwhA/EHvv-cCg55I/s640/fo1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vgemgzhBAsY/VWtBeCaOZnI/AAAAAAABwg8/DRX41RBjYfM/s640/fo2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0M5s-_-zWyA/VWtBeJ5ibRI/AAAAAAABwhE/qotU_I_l3Ck/s640/fo3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NCHw7lJUU-A/VWtBkG1PzfI/AAAAAAABwhU/VAIDl434eL0/s640/fo4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BDhOg_JIN4o/VWtBlyKba_I/AAAAAAABwhc/x9aadpETqms/s640/fo5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Profesa Ibrahim Lipumba ajiuzulu nyazifa zote CUF na UKAWA, abaki mwanachama wa kawaida
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/136.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock leo jijini Dar es salaam wakati akitangaza kujuuzulu nyazifa zake zote katika chama hicho na kubaki mwanachama wa kawaida kutokana kile alichokiita dhamira inamsuta.(NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM).
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba akionyesha rasimu ya katiba iliyoandaliwa na tume ya katiba mpya iliyokuwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Mjue M.Seif — Mgombea urais kwa ticket ya CUF
Salma Said Nipo Kisiwani Pemba ni saa 12 asubuhi naingia garini kutoka Chake Chake naelekea Mtambwe ni kilomita 34 ni mwendo wa kasi ili nifike mapema, kila upande ninapoangaza macho yangu yanakutana na miti mingi sana […]
The post Mjue M.Seif – Mgombea urais kwa ticket ya CUF appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Oct
Vedio-Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais CUF Konde
The post Vedio-Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais CUF Konde appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Oct
Vedio-Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais CUF Mkanyageni
The post Vedio-Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais CUF Mkanyageni appeared first on Mzalendo.net.