Lipumba, Maalim Seif waongoza tena CUF
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amechaguliwa tena kuendelea na wadhifa huo. Ingawa matokeo kamili ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutangazwa leo, lakini taarifa za awali tulizozipata wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-msxFU5zy2yQ/U6swdrE662I/AAAAAAAFs8M/2Y5nnEKOhQE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF, PROFESA LIPUMBA WAPETA TENA UCHAGUZAI WA CUF, JUMA HAJI DUNI MAKAMU MWENYEKITI
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
11 years ago
Mwananchi06 May
Seif, Lipumba waongoza waombolezaji mazishi ya Sheikh Ilunga Dar es Salaam
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Maalim Seif ‘amchana’ Profesa Lipumba
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba
11 years ago
Habarileo24 Jun
Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lMWCfDZnRbY/VSvJG_VOC9I/AAAAAAAHQ3M/P1dxbAwf94c/s72-c/m2.jpg)
MAALIM SEIF ATINGA KIZIMBANI KUSIKILIZA KESI YA LIPUMBA
Maalimu Seif alifika na msafara wake wa magari matatu Mahakamani hapo majira ya saa nne asubuhi.
Hakimu wa Makakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,Cyprian Mkeha amesema washitakiwa hao wanadaiwa kufanya kosa...
11 years ago
Habarileo01 Jun
Maalim Seif aita washindani CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.