MAALIM SEIF, PROFESA LIPUMBA WAPETA TENA UCHAGUZAI WA CUF, JUMA HAJI DUNI MAKAMU MWENYEKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-msxFU5zy2yQ/U6swdrE662I/AAAAAAAFs8M/2Y5nnEKOhQE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Na Hassan Hamad (OMKR) Mkutano Mkuu wa CUF Taifa umemchagua tena Katibu Mkuu wa Chama hicho kuendelea na wadhifa huo kwa kupata kura 675, sawa na asilimia 99.5 ya kura zilizopigwa. Mkutano huo pia umemchagua Prof. Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa kupata kura 659 sawa na asilimia 95.5 na kumshinda mpinzani wake Chifu Lutalosa Yemba aliyepata kura 30 sawa na asilimia 4 nukta 3. Aidha mkutano huo umemchagua Mhe. Juma Duni Haji kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho kwa kupata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Lipumba, Maalim Seif waongoza tena CUF
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amechaguliwa tena kuendelea na wadhifa huo. Ingawa matokeo kamili ya uchaguzi huo yanatarajiwa kutangazwa leo, lakini taarifa za awali tulizozipata wakati...
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
Mwananchi24 May
cuf,zanzibar,duni,juma,haji,uchaguzi,2015,upinzani,
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Maalim Seif ‘amchana’ Profesa Lipumba
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/wcV-j3eG7zU/default.jpg)
MH JUMA DUNI HAJI AZUNGUMZA UKARIBISHO WA MH EDWARD LOWASSA
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-1otWftGbYu0/Vg52YOulKvI/AAAAAAABhjs/vX3LcnIDwyg/s72-c/BABU.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA JUMA DUNI HAJI AFANYA MKUTANO RUFIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-1otWftGbYu0/Vg52YOulKvI/AAAAAAABhjs/vX3LcnIDwyg/s640/BABU.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j-wveimXgzs/Vg52kf-UPmI/AAAAAAABhkE/UxDLprW9pqY/s640/hewa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wvgiZyRlKkA/Vg52Zfa4f_I/AAAAAAABhj0/XKqU3DX1ITU/s640/HUYU.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y2OCgDv6D9s/Ve1TaUUOB1I/AAAAAAADYAc/1DbgHIZsweo/s72-c/BA%2B16.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI ANGURUMA JIJINI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y2OCgDv6D9s/Ve1TaUUOB1I/AAAAAAADYAc/1DbgHIZsweo/s640/BA%2B16.jpg)