Prof. Lipumba kunguruma Mtwara
Aandaliwa mapokezi makubwaBaada ya serikali kutangaza kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara katika mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi kwa takribani mwaka mmoja, Chama cha Wananchi (CUF) Mkoa wa Mtwara, kinafanya maandalizi ya kumpokea Mwenyekiti wa chama hicho, Prof, Ibrahim Lipumba, ambaye atafanya mikutano ya hadhara miwili mjini Mtwara.
Kiongozi huyo ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini Oktoba 13, mwaka huu.
Akizungumza na NIPASHE katika ofisi za CUF...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
IPPmedia06 Aug
Prof Lipumba mum on next move
IPPmedia
IPPmedia
CiviUnited Front national chairman Prof Ibrahim Lipumba addresses members of the opposition party at its headquarters in Dar es salaam yesterday. The membership of the Civic United Front (CUF) chairman Prof Ibrahim Lipumba hangs in the balance as ...
Lipumba Mum On Ukawa's Choice of Presidential CandidateAllAfrica.com
all 3
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/12/lipumba.jpg)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Lipumba kutua Mtwara
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini kesho akitokea Mtwara Vijijini alikofanya ziara ya kikazi. Lipumba yuko katika ziara ya kikazi ya kuzunguka mkoa...
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA AKIWASHUKURU WANANCHI BUGURUNI
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI LEO
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Shaka amzodoa Prof. Lipumba Zanzibar
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imemuonya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba, kuacha kuingilia uamuzi wa kikatiba unaofikiwa na chama chao. UVCCM...