Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA


Inasemekana ndio kwanza atatimiza miaka 20 soon lakini ukimwangalia kwenye picha uzuri wake na urembo ni shida kwa umri wake je unafikiri ingekuwa vizuri kuwa mke au andelee tu kuwa pambo na watu wazidi kutokwa na udenda kuliwinda penzi lake?. Huyo ndiyo Lulu Michael aliemzawadia mama yake nyumba kama zawaidi ya birthday hakika ni mrembo.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LULU AWACHARUKIA WANAOHOJI GHARAMA ZA UREMBO WAKE

Imelda mtema
STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’ Staa asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Awacharukia Hawa Kuhusu Gharama za Urembo Wake

STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’

Akizungumza  na mwandishi wa habari hii hivi karibuni,  Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za kupendeza wakati yeye ni mwanafunzi hoja ambayo ameiona haina mashiko kwani yeye hatumii fedha nyingi katika urembo wake.

“Watu bwana! Ningekuwa niko rafu...

 

11 years ago

Bongo Movies

SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.


Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.

Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.

“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakongwe: Yanga hailingani na umri wake

Wakati Yanga ikitimiza miaka 80 tangu kuanzishwa kwake, wachezaji wa zamani wa timu hiyo wamesema licha ya ukongwe wa klabu hiyo bado haijapiga hatua yoyote ya maendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

ROMARIO NA MCHUMBA WAKE MPYA WANASEMA UMRI NI SAWA NA 1,2,3

Romario mwenye umri wa miaka 48 na mchumba wake ni miaka 19 inaonyesha kuwa Brazil walivyochuka ubigwa wa dunia mwaka 1994 mashindano yalifanyika Marekani. Na Romario kufunga magoli 5 kwenye mashinda hayo  mrembo huyu alikuwa ajazaliwa piga hesabu mwenyewe na utajua wako tofauti miaka ngapi chezea mapenzi wewe jipange wanaume hawazeeke.Mrembo anaitwa Dixie Pratt mwenye umri wa miaka 19 na Romario ni 48 miaka 29 zaidi ya mpenzi wake.Bata batani pande za Aruba Romario na tunda lake changa bado...

 

10 years ago

Vijimambo

LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti Abbas Mtemvu (kushoto),katika mkutano huo Lundenga alitolea ufafanuzi swala la umri wa Mrembo huyo kulingana na vilelezo alivyopewa na mrembo huyo wakati akijiunga na mashindano hayo 
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...

 

11 years ago

GPL

LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE

Stori: shakoor jongo
Kumbe! Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwamba amewajua wabaya wake wanaomfuatilia na kumsakama kwa ubaya katika maisha yake, amewaonya kuwa dawa yao ipo jikoni. Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita jijini Dar, Lulu alisema kuwa kila kukicha lazima watu hao waibuke na jipya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Amkataa Bwana Wake Lulu

Kufuatia kauli yake ya hivi karibuni kuwa nyumba anayomiliki ilitokana na mchango wa bwana’ke (hakumtaja jina), mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ameibuka na kumkataa mwanaume huyo.

Kwa mujibu wa Lulu, nyumba hiyo iliyopo Kimara jijini Dar ameijenga kwa kusaidiana na bwana’ke kwa mtindo wa pasu kwa pasu (kuchangia nusu kwa nusu).Alisema kuwa anamshukuru Mungu kwani hadi hapo ilipofikia ikiwa inakaribia kumalizika ameijenga kwa nguvu zake na...

 

10 years ago

GPL

LULU AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA KADINDA

Stori: Mayasa Mariwata
MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada. Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Martin Kadinda. Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema yeye na Kadinda ni marafiki wa kweli na amekuwa akiinjoi maisha yao kwa kushauriana masuala mbalimbali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani