WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s72-c/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
Inasemekana ndio kwanza atatimiza miaka 20 soon lakini ukimwangalia kwenye picha uzuri wake na urembo ni shida kwa umri wake je unafikiri ingekuwa vizuri kuwa mke au andelee tu kuwa pambo na watu wazidi kutokwa na udenda kuliwinda penzi lake?.
Huyo ndiyo Lulu Michael aliemzawadia mama yake nyumba kama zawaidi ya birthday hakika ni mrembo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-dfA99fOVTIuZciuFEuTC6DKmaMoOBd7OvyiLlpLmFRcfArOZ694b7nYdPjGE2UaYaM*kmy1g0Wy9jfwm*3cGAA/Luluz.jpg?width=650)
LULU AWACHARUKIA WANAOHOJI GHARAMA ZA UREMBO WAKE
9 years ago
Bongo Movies08 Nov
Lulu Awacharukia Hawa Kuhusu Gharama za Urembo Wake
STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za kupendeza wakati yeye ni mwanafunzi hoja ambayo ameiona haina mashiko kwani yeye hatumii fedha nyingi katika urembo wake.
“Watu bwana! Ningekuwa niko rafu...
11 years ago
Bongo Movies14 Jul
SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.
“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Wakongwe: Yanga hailingani na umri wake
10 years ago
Vijimambo21 Jan
ROMARIO NA MCHUMBA WAKE MPYA WANASEMA UMRI NI SAWA NA 1,2,3
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DE9A0A00000578-0-image-a-12_1421756414358.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DE99E600000578-0-image-m-2_1421756280545.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DEC7F500000578-2918194-image-a-23_1421757051807.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s640/MMGM0139.jpg)
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQykxR3cVykaBL9h0vaaxMAGO7kuxhap5gv3CmTljzWgMWmlUhkAKZuEzAxIPEndj*gGlKSRvMAjRSjmjKnv7aw/LULU.jpg)
LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
Mama Amkataa Bwana Wake Lulu
Kufuatia kauli yake ya hivi karibuni kuwa nyumba anayomiliki ilitokana na mchango wa bwana’ke (hakumtaja jina), mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ameibuka na kumkataa mwanaume huyo.
Kwa mujibu wa Lulu, nyumba hiyo iliyopo Kimara jijini Dar ameijenga kwa kusaidiana na bwana’ke kwa mtindo wa pasu kwa pasu (kuchangia nusu kwa nusu).Alisema kuwa anamshukuru Mungu kwani hadi hapo ilipofikia ikiwa inakaribia kumalizika ameijenga kwa nguvu zake na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpel7Ujuf9OCvt0s8SCaR70fdUAimB*ZqZAk04cdMRopbMBCTSBvOkLhX5uYrNFkXfYQf513AcjjMkP37HnxJKG/kadinda.jpg?width=650)
LULU AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA KADINDA