LULU AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA KADINDA
![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpel7Ujuf9OCvt0s8SCaR70fdUAimB*ZqZAk04cdMRopbMBCTSBvOkLhX5uYrNFkXfYQf513AcjjMkP37HnxJKG/kadinda.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada. Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Martin Kadinda. Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema yeye na Kadinda ni marafiki wa kweli na amekuwa akiinjoi maisha yao kwa kushauriana masuala mbalimbali ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnRJYhn9-NLobBiZhP2cieWMour4EqD6dYQrEKHxaBHZJnXk*KPYYfoz1o*N91avHJQGV1l*auKS1yqeFdlz1UA/KADINDA.jpg?width=650)
KADINDA AMWITA LULU NYAU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ktt5EQ2Y2yI/VME4Mt4epmI/AAAAAAAAAsE/R0J3lFVeMTE/s72-c/wema778.jpg)
Wema Sepetu Hajampeleka Diamond Mahakamani Kwa Deni La Milion 10 — Martin Kadinda Afunguka
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ktt5EQ2Y2yI/VME4Mt4epmI/AAAAAAAAAsE/R0J3lFVeMTE/s1600/wema778.jpg)
“Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani...
9 years ago
Bongo524 Oct
Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVj3grGgyQeFVjJi16doQawmFpuzA8-NgFlQhiP1iQ5B7clDpvCVJPUrkoGtMGV3Jy1n0Hu9SOVyzfTAmoDsMDf/Cheniiii.jpg?width=650)
DK. CHENI AFUNGUKA KUMUOA LULU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Kr5AeJEUUMA/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Bongo Movies03 Jan
Lulu Afunguka Kuhusu Malengo ya Ndoa Yake Kukwama
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameibuka na kuelezea ni kwajinsi gani anavyo lichukulia swala la lengo lake alilojiwekea la kuolewa mwaka 2014 kushindikana, kwa kusema kuwa imeshindikana lakini hajilaumu wala hamlaumu mtu yeyote kwa kutotimiza suala hilo kwani anaamini Mungu ndiye anayewezesha kila kitu.
Akizungumza na paparazi wa GPL hivi karibuni, Lulu alisema mwaka 2014 alikuwa na malengo mengi likiwemo suala la ndoa lakini kwa kuwa Mungu ndiye muweza, atapanga upya suala...
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.
![Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jux245.png)
Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi
“You can’t Stop Loving Short Girls Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith
20 years kakwama Kwa Aunty Jada
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata
Kuna mijitu itapanic basiSasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s72-c/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-hF31dHh7cbI%2FVK3B8jmgUSI%2FAAAAAAADVFQ%2FnfFpoWZu7bM%2Fs1600%2F10838621_331233430416796_227606700_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JDwXGO9MVB8%2FVK3B8u6wkTI%2FAAAAAAADVFM%2FY5nwrYVWzUc%2Fs1600%2F10899114_641008079338681_1343568482_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s1600/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8MvZOZHb8A/VK3B9LrFbMI/AAAAAAADVFU/ahV70KiPkms/s1600/10914612_1614601382093096_849779325_n.jpg)