Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afunguka Ugomvi wake na Lemutuz na Umaarufu Wake Mita...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu Wake

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally  amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.

Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”

Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya mtoto...

 

11 years ago

GPL

WEMA AANIKA UGOMVI WAKE NA MAMA’KE

Na Waandishi Wetu STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa akiupinga mara kwa mara. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Akipiga stori na mapaparazi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini...

 

10 years ago

Bongo5

French Montana asema hayuko na Khloe Kardashian kwasababu ya umaarufu wake, adai alitafsiriwa vibaya

Rapper wa ‘Don’t Panic’, French Montana amelazimika kutoa ufafanuzi wa kauli yake aliyoitoa kwenye mahojiano na jarida la Billboard kuwa anatumia umaarufu wa mpenzi wake Khloe Kardashian kwa faida. Huenda wakati anatoa kauli hiyo alikuwa anamaana tofauti na ilivyotafsiriwa na watu mbalimbali waliomshambulia kwa kumtumia Khloe. Montana ameiambia Access Hollywood Live kuwa comment yake ilitafsiriwa […]

 

9 years ago

Vijimambo

ESHI LA POLISI MKOANI MWANZA LATOA MSIMAMO WAKE JUU YA SUALA LA MITA 200 BAADA YA KUPIGA KURA

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza latoa msimamo wake juu ya suala la mita 200 baada ya kupiga kura

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.

Na:George Binagi-GB Pazzo, BMG

Kamanda...

 

10 years ago

GPL

LULU AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA KADINDA

Stori: Mayasa Mariwata
MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada. Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Martin Kadinda. Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema yeye na Kadinda ni marafiki wa kweli na amekuwa akiinjoi maisha yao kwa kushauriana masuala mbalimbali ya...

 

10 years ago

CloudsFM

Linah Afunguka Tattoo Ya Mpenzi Wake

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga 'Linah' akiwa na William Bugeme 'Boss Mtoto'

Mwanamuziki nchini Tanzania Asterlinah Sanga ‘Linah’ akiwa na William Bugeme ‘Boss Mtoto’

Mwanamuziki nchini Tanzania, Asterlina Sanga ‘Linah’ amekiri mpenzi wake wa sasa William Bugeme ‘Boss mtoto’ kujichora tattoo yenye jina lake ikiwa ni muda mfupi umepita tangu kuanzishwa kwa uhusiano wao.

Amedai kuwa kwa mara ya kwanza yeye na boss mtoto walikutana kwenye mgahawa wa News Cafe na kubadilishana namba za simu ikiwa sasa ni mwezi mmoja umepita tangu waanzishe penzi hilo jipya.

William Bugema 'Boss Mtoto' akichorwa tattoo

William...

 

10 years ago

GPL

Q - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online. TUNAENDELEA na simulizi ya staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, wiki iliyopita iliishia pale alipoelezea juu ya kilichomtokea katika msiba wa msanii wa filamu, Adam Kuambiana, alisema marehemu ndiye aliyegundua kipaji chake cha kuigiza, songa nayo sasa…
(Anainamisha kichwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani