Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Q - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online. TUNAENDELEA na simulizi ya staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, wiki iliyopita iliishia pale alipoelezea juu ya kilichomtokea katika msiba wa msanii wa filamu, Adam Kuambiana, alisema marehemu ndiye aliyegundua kipaji chake cha kuigiza, songa nayo sasa…
(Anainamisha kichwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Q-CHILLAH ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU UJIO WAKE MPYA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online leo. Q-Chillah akionyesha Cd ya wimbo wake mpya uitwao 'Nipende Nikupende' aliofanya na MB Dog. …

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.

“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH AAHIDI MAKUBWA UJIO WAKE MPYA!

Q-Chillah akielezea namna alivyojipanga kwa ujio wake mpya. Kushoto ni Meneja wake, QS. Mhonda.  Muandaaji wa hafla hiyo, DJ Bavon (aliyesimama) akitoa ufafanuzi.…

 

11 years ago

Bongo5

Video: Akili The Brain akiongelea ujio wake mpya

Mtazame muimbaji na producer mkongwe, Akili the Brain akielezea ujio wake mpya baada ya kutoka nchini India kuongeza ujuzi wa masuala ya utayarishaji.

 

10 years ago

Bongo5

Shaa azungumzia ukimya wake na ujio wa kazi zake mpya

Katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni, Shaa amekuwa kimya. Hata hivyo amesema ukimya huo umetokana na kubanwa na kazi za kimaitaifa ambazo zilikuwa zikimhitaji kusafiri. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa, sasa amerudi rasmi nyumbani na anajipanga kuachia kazi mpya hivi karibuni. “Natoa wimbo na video wangu mpya tarehe 7 mwezi wa 11, ambayo pia ni […]

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)

Muimbaji mkongwe wa muziki wa Bongo Flava aliyewahi kuhit na nyimbo nyingi, Abubakar Katwila aka Q-Chief amesaini mkataba wa usimamizi na kampuni ya Apex Consultants & Associates ya QS ya Joseph Mhonda. Akiongea na Bongo5 kwenye mahojiano exclusive, Chief amesema kusaini mkataba na kampuni hiyo kumempa matumaini mapya baada ya kuwa kwenye majaribu mazito kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani