Video: Akili The Brain akiongelea ujio wake mpya
Mtazame muimbaji na producer mkongwe, Akili the Brain akielezea ujio wake mpya baada ya kutoka nchini India kuongeza ujuzi wa masuala ya utayarishaji.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nYumcNGLGVI/default.jpg)
10 years ago
Bongo519 Aug
Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)
Muimbaji mkongwe wa muziki wa Bongo Flava aliyewahi kuhit na nyimbo nyingi, Abubakar Katwila aka Q-Chief amesaini mkataba wa usimamizi na kampuni ya Apex Consultants & Associates ya QS ya Joseph Mhonda. Akiongea na Bongo5 kwenye mahojiano exclusive, Chief amesema kusaini mkataba na kampuni hiyo kumempa matumaini mapya baada ya kuwa kwenye majaribu mazito kwa […]
10 years ago
GPLQ - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA
Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online. TUNAENDELEA na simulizi ya staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, wiki iliyopita iliishia pale alipoelezea juu ya kilichomtokea katika msiba wa msanii wa filamu, Adam Kuambiana, alisema marehemu ndiye aliyegundua kipaji chake cha kuigiza, songa nayo sasa…
(Anainamisha kichwa...
10 years ago
GPLQ-CHILLAH AAHIDI MAKUBWA UJIO WAKE MPYA!
Q-Chillah akielezea namna alivyojipanga kwa ujio wake mpya. Kushoto ni Meneja wake, QS. Mhonda. Muandaaji wa hafla hiyo, DJ Bavon (aliyesimama) akitoa ufafanuzi.…
9 years ago
Bongo502 Sep
Video: Mtazame Lamar akiongelea mradi mpya wa Refix na muziki wa Tanzania
Tumezungumza na Lamar kuhusu mradi wake mpya wa Refix, mabadiliko ya muziki wa Tanzania, biashara kwenye kiwanda hicho na mambo mengine. Tazama interview hiyo hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo510 Oct
Shaa azungumzia ukimya wake na ujio wa kazi zake mpya
Katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni, Shaa amekuwa kimya. Hata hivyo amesema ukimya huo umetokana na kubanwa na kazi za kimaitaifa ambazo zilikuwa zikimhitaji kusafiri. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa, sasa amerudi rasmi nyumbani na anajipanga kuachia kazi mpya hivi karibuni. “Natoa wimbo na video wangu mpya tarehe 7 mwezi wa 11, ambayo pia ni […]
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU UJIO WAKE MPYA
Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online leo. Q-Chillah akionyesha Cd ya wimbo wake mpya uitwao 'Nipende Nikupende' aliofanya na MB Dog. …
10 years ago
GPL20 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania