Jeshi la Polisi mkoani Mwanza latoa msimamo wake juu ya suala la mita 200 baada ya kupiga kura
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.
Na:George Binagi-GB Pazzo, BMGKamanda...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboESHI LA POLISI MKOANI MWANZA LATOA MSIMAMO WAKE JUU YA SUALA LA MITA 200 BAADA YA KUPIGA KURA
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Suala la kusimama mita 200 linahitaji busara
Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyama vya siasa, hasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) viko kwenye mzozo mkubwa wa wapi wananchi wanatakiwa wasimame baada ya kupiga kura Oktoba 25.
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA
Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...
9 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MBEYA LAPIGA MARUFUKU KWENDA KUPIGA KURA UKIWA UMEVAA SARE ZA VYAMA
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limetoa rai kwa wafuasi wa vyama vishiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu kujiepusha kufika katika kituo cha kupigia kura wakiwa wamevaa nguo zenye picha za wagombea, maneno au nembo ama rangi za chama cha siasa.
Aidha wametakiwa , kuepuka kutumia uvumi, maneno ya uongo, hisia au visingizio vyenye lengo la kuwazuia wengine kwenda kupiga kura.
Pia amewataka kuepuka kufanya kampeni katika kituo cha kupigia kura iwe kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JWSTFRJtmfw/Xmy9m1_zOhI/AAAAAAALjWc/N3Sxq2kB-c0mgbMAhQVthn5HEyoBLx8uwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1.jpg)
TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JWSTFRJtmfw/Xmy9m1_zOhI/AAAAAAALjWc/N3Sxq2kB-c0mgbMAhQVthn5HEyoBLx8uwCLcBGAsYHQ/s640/1-1.jpg)
TUKIO LA KWANZA.
TAREHE 09/03/2020 MAJIRA YA 08:05HRS HUKO MAENEO YA MSITU WA MACHEMBA, KATA YA ISAMILO, WILAYA YA NYAMAGANI, JIJI NA MKOA WA MWANZA, MTOTO WA MTAANI ASIYEFAHAMIKA...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Kibatala-620x308.jpg)
KESI YA WAPIGA KURA KUKAA MITA 200 YAAHIRISHWA
Wakili Peter Kibatala. MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imehairisha kesi namba 37 ya mwaka huu, ya mlalamikaji kuiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo. Kesi hiyo sasa itasikilizwa kesho saa 3 asubuhi baada ya upande wa serikali kudai kuwa walikuwa hawajamaliza kujibu hoja au kuweka pingamizi sababu...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEWLCMFOMVA7Cx8pm-jU3kEO9xu0CVrtDepeMA9q8bWUONbY7AkRrNgdVtvFMdQ5lIwLQ7OtGV-dUkV8KH4l7-rL/POLISI1.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI LATOA ONYO KALI KWA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Septemba 3,2014 kuhusu kupiga marufuku watu wanaotumia mitandao kinyume na taratibu. Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi, uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali, dini na watu mashuhuri. Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014Â Msemaji...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania