ESHI LA POLISI MKOANI MWANZA LATOA MSIMAMO WAKE JUU YA SUALA LA MITA 200 BAADA YA KUPIGA KURA
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza latoa msimamo wake juu ya suala la mita 200 baada ya kupiga kura
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.
Na:George Binagi-GB Pazzo, BMGKamanda...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Suala la kusimama mita 200 linahitaji busara
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Kibatala-620x308.jpg)
KESI YA WAPIGA KURA KUKAA MITA 200 YAAHIRISHWA
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Mtulia amezungumza baada ya kupiga Kura
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5BJpgOwJcHA/Uyv3TwrB_NI/AAAAAAAFVUo/RCbj0MJxs4Y/s72-c/IMG_0561.jpg)
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA TAARIFA JUU YA UTEKELEZAJI WAKE WA MPANGO KABAMBE WA MIAKA KUMI (2014-2023).
![](http://1.bp.blogspot.com/-5BJpgOwJcHA/Uyv3TwrB_NI/AAAAAAAFVUo/RCbj0MJxs4Y/s1600/IMG_0561.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c4AaUEji2Ec/Uyv5yq6rPdI/AAAAAAAFVVI/9mePMs5BXLk/s1600/IMG_0585.jpg)
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA
Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...