Lulu Awacharukia Hawa Kuhusu Gharama za Urembo Wake
STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za kupendeza wakati yeye ni mwanafunzi hoja ambayo ameiona haina mashiko kwani yeye hatumii fedha nyingi katika urembo wake.
“Watu bwana! Ningekuwa niko rafu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-dfA99fOVTIuZciuFEuTC6DKmaMoOBd7OvyiLlpLmFRcfArOZ694b7nYdPjGE2UaYaM*kmy1g0Wy9jfwm*3cGAA/Luluz.jpg?width=650)
LULU AWACHARUKIA WANAOHOJI GHARAMA ZA UREMBO WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s72-c/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-hF31dHh7cbI%2FVK3B8jmgUSI%2FAAAAAAADVFQ%2FnfFpoWZu7bM%2Fs1600%2F10838621_331233430416796_227606700_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JDwXGO9MVB8%2FVK3B8u6wkTI%2FAAAAAAADVFM%2FY5nwrYVWzUc%2Fs1600%2F10899114_641008079338681_1343568482_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj28asxQQl8/VK3B8kyCpwI/AAAAAAADVFI/hShB-nsFh4Q/s1600/10914374_855050391212726_1290368029_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8MvZOZHb8A/VK3B9LrFbMI/AAAAAAADVFU/ahV70KiPkms/s1600/10914612_1614601382093096_849779325_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-u2hy6w9lB8k/U9aDAFFcSeI/AAAAAAAAGE0/CBMujcPWw-E/s72-c/10576046_814022105288113_158358201_n.jpg)
KAMA UREMBO NIKUOLEWA BASI HAWA WASHINDWE WENYEWE KUPATA WAUME KWANI NI WAREMBO HASWA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2hy6w9lB8k/U9aDAFFcSeI/AAAAAAAAGE0/CBMujcPWw-E/s640/10576046_814022105288113_158358201_n.jpg)
Pitia picha za warembo hawa watatu na utakubari kuwa wanaurembo na kama wanatulia na kuolewa basi mume hawezi kuchelewa kurudi nyumbani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-niAwFka0RTs/VDSy0Q72WlI/AAAAAAAAp18/B8K-5azcItE/s1600/IMG_0699.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6RC8TUDBUpI/VDKo-uCfXlI/AAAAAAAAWIA/NDZIe3pgJYs/s640/LUUUU.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrXYvejWx2BHlV2hbEIBzX7BWc9S8IJpZQ6-6pg4OyIHljg2D2C*DQP0ojrl-Zn92pZzymHVpacQib7v8bOikUI/mwami.jpg)
MKONGO WA WOLPER, HUSNA: NAMTAKA LULU KWA GHARAMA YOYOTE!
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata ‘Lunch’ Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.
“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s72-c/009..jpg)
KAMPUNI YA UREMBO YA MARY KAY, YATOA DARASA KWA WAFANYAKAZI WA KIKE WA VODACOM KUHUSU MATUMIZI YA VIPODOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s640/009..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6MUqv4Fe2I/VevrD6CU7sI/AAAAAAAAY6Y/sn1cWgJtKyU/s640/001..jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho
10 years ago
Bongo Movies22 May
JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa
Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..
By:JB on Instagram
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s72-c/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
KUHUSU KUSAIDIA MICHEZO, WOTE HAWA WAMEDANGANYA TU
![](http://3.bp.blogspot.com/-jdILRLt62Kk/VaDN_K-_EQI/AAAAAAABOXU/7sULDbXdXtQ/s640/January%2BMakamba%2Banswering%2Bquestions%2Bfrom%2Bparticipants.jpg)
MAKAMBA
Na Saleh AllyCHAMA cha Mapinduzi (CCM), kiko katika harakati za mwisho kumpata mgombea wake wa urais na leo ndiyo tatu bora inajulikana.Tayari tano bora imeishajulikana ambayo ni Benard Membe, Asha-Rose Migiro, Januari Makamba, John Magufuri na Amina Ally.
Mgombea mmoja atatangazwa kesho na kitendawili cha nani atakuwa mgombea wa urais wa chama hicho kikongwe nchini kitakuwa kimetenguliwa, huenda itakuwa wakati wa kupongezana na kufutana machozi.Hayo tuwaachie wao wanasiasa, lakini si...