Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata ‘Lunch’ Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.
“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s72-c/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)
MMOJA KATI YA HAWA KUIBUKA KOCHA MPYA WA REAL MADRID
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3v8IJjWbPg/VV9qtMQKwGI/AAAAAAAABp4/84Ogu3OidDw/s640/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Avumaye kwa sasa ni Mandela, lakini na wengine wapo
10 years ago
Vijimambo02 Dec
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.
Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.
Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5Bg0flj9SzLujEeNLVpEXeF7Cz9V3ugdw9mkCmKHXcb-1WjF7oXwb4RdATjHffgly5Afn8O65sD7ozWB7dS7UMa/ElizabethMichaellulu.jpg?width=650)
LULU: SICHANGANYI MADAWA KAMA WENGINE
10 years ago
Habarileo26 May
Kikwete ateua DC mmoja, ahamisha wengine 10
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, mkoa wa Dodoma.