HAWA NDIO WATAGOMBEA MWANASOKA BORA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Apr
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015…
Mashabiki wengi wa soka wanaamini nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ndiye bora duniani..lakini kuna hili gazeti moja kutoka Ufaransa la L’Equipe limeorodhesha wachezaji 100 waliofanya vizuri kwa mwaka uliopita wa 2015. Katika orodha hiyo Ronaldo pamoja na mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski wamefanikiwa kuingia hatua ya tano bora. Mastaa waliofanikiwa kushika nafasi tatu za […]
The post Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015… appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Sterling Mwanasoka bora chipukizi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*E1*lxSss-cJcHw2GHhlAAnTrRI5Da4SVaPlWRoihLNM1rPyMRBwofUAl9V5j*NdiJ3Y1PJj8j4AqNnNl30OrDraLj3lrn*W/24A5691D000005780imagea48_1421089641522.jpg)
RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Watano kuwania mwanasoka bora Afrika
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
NYOTA watano wa soka ambao wanawania tuzo ya BBC mwaka 2015, wamewekwa hadharani juzi katika hafla maalumu iliyoandaliwa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Nyota hao ni pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014, Yacine Brahimi kutoka nchini Algeria, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka nchini Gabon, Andre Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mane na Yaya Toure wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa ya kupiga kura hadi ifikapo tarehe...
10 years ago
CloudsFM09 Jan
Yaya Toure mwanasoka bora Africa
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Mwanasoka bora kutangazwa leo na BBC
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Nani mwanasoka bora zaidi Afrika?