Sterling Mwanasoka bora chipukizi
Mshambuliaji kinda wa Liverpool, Raheem Sterling amekabidhiwa Tuzo ya Mwanasoka bora chipukizi kwa mwaka 2014 na Chama cha soka cha England FA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
10 years ago
Vijimambo02 Dec
10 years ago
CloudsFM09 Jan
Yaya Toure mwanasoka bora Africa
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*E1*lxSss-cJcHw2GHhlAAnTrRI5Da4SVaPlWRoihLNM1rPyMRBwofUAl9V5j*NdiJ3Y1PJj8j4AqNnNl30OrDraLj3lrn*W/24A5691D000005780imagea48_1421089641522.jpg)
RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Watano kuwania mwanasoka bora Afrika
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
NYOTA watano wa soka ambao wanawania tuzo ya BBC mwaka 2015, wamewekwa hadharani juzi katika hafla maalumu iliyoandaliwa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Nyota hao ni pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014, Yacine Brahimi kutoka nchini Algeria, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka nchini Gabon, Andre Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mane na Yaya Toure wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa ya kupiga kura hadi ifikapo tarehe...
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Nani mwanasoka bora zaidi Afrika?
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Mwanasoka bora kutangazwa leo na BBC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kh30-z5z4YPGPNnxAD8OVC5sDIgkBJcZCFCZEsSx8VPh5JOJXUgRKEtv7m0qos-IYOMB3KXcA4j1tTst*wdJam/S1.jpg?width=640)
SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.