SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA
![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kh30-z5z4YPGPNnxAD8OVC5sDIgkBJcZCFCZEsSx8VPh5JOJXUgRKEtv7m0qos-IYOMB3KXcA4j1tTst*wdJam/S1.jpg?width=640)
Mchezaji Bora wa Mwaka, Luis Suarez akisherehekea tuzo yake ya Shirikisho ya Mashabiki wa Soka, akiwa na mkewe Sofia. Suarez akisherehekea tuzo yake Uwanja wa Emirates. MSHAMBULIAJI Luis Suarez ametajwa mchezaji bora wa mwaka wa tuzo ya Shirikisho la Mashabiki wa Soka jana usiku akiwapiku Leighton Baines, Christian Benteke, Juan Mata, Robin van Persie na Pablo Zabaleta kushinda tuzo hiyo iliyohusisha wapiga kura zaidi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika
10 years ago
Bongo529 Aug
Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qMwTuxyzgLs/VKgz2SxJ5jI/AAAAAAAA8YA/pTs6lazGYyA/s72-c/DiamondPlatinum.jpg)
DIAMOND ATEULIWA KUTUMBUIZA TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF
![](http://3.bp.blogspot.com/-qMwTuxyzgLs/VKgz2SxJ5jI/AAAAAAAA8YA/pTs6lazGYyA/s1600/DiamondPlatinum.jpg)
Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:
1. Ahmed...
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
9 years ago
Bongo517 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora BBC Afrika 2015
![151113145647_afoty_2015_512x288_bbc](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151113145647_afoty_2015_512x288_bbc-300x194.jpg)
Wacheji watano ambao wanagombea tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014 Yacine Brahimi, yupo kwenye orodha hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, André Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mané na Yaya wote wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa kupiga kura hadi tarehe 30, Novemba.
Unaweza kupiga kura mtandaoni kwa kubofya hapa au kwa...
10 years ago
Bongo527 Apr
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA