RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014
![](http://api.ning.com:80/files/*E1*lxSss-cJcHw2GHhlAAnTrRI5Da4SVaPlWRoihLNM1rPyMRBwofUAl9V5j*NdiJ3Y1PJj8j4AqNnNl30OrDraLj3lrn*W/24A5691D000005780imagea48_1421089641522.jpg)
Mchezaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo akiwa na tuzo ya Ballon d'Or baada ya kutangazwa na FIFA kuwa Mwanasoka Bora wa mwaka 2014. Cristiano Ronaldo (kushoto) akisalimiana na Rais wa UEFA, Michel Platini.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Dec
Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?
Fifa imetoa orodha ya mwisho ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mwanasoka bora duniani maarufu kwa jina la FIFA Ballon d’Or 2014. Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndio wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d’Or 2014. Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015. Wachezaji hao ni Cristiano Ronaldo […]
10 years ago
Bongo529 Aug
Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya
Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya. Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia […]
9 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
Mchezaji wa Barcelona, Lionel Messi jana August 27 alishinda tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa Ulaya msimu wa 2014-15 baada ya kuwashinda Cristiano Ronaldo na mchezaji mwenzake wa Barca, Luis Suarez. Messi ameshinda tuzo hiyo kwa mara ya pili katika sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Monte Carlo mjini Monaco, Ufaransa jioni baada ya kupangwa […]
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Christiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013.
11 years ago
GPL14 Jan
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxD7JC*oXuLu8gbJA6qOxwqpKd1YfXgY*Fsn5H20W5mT4-REQnvhGPwnb7kC6vhQcONwGSVYunRYb7t9qFwRV61/DSTV.png?width=650)
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Sterling Mwanasoka bora chipukizi
Mshambuliaji kinda wa Liverpool, Raheem Sterling amekabidhiwa Tuzo ya Mwanasoka bora chipukizi kwa mwaka 2014 na Chama cha soka cha England FA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania