Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013

Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Christiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ronaldo mchezaji bora wa Ulaya

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa kuwapiku nyota wa Bayern Munich, Manuel Neuer na Arjen Robben.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo Ajigamba ndiye mchezaji bora

Mimi ndiye mchezaji bora ulimwenguni, amejigamba Cristiano Ronaldo. Mreno huyo mwenye miaka 30 ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia

 

10 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa. Cristiano Ronaldo akifurahia.…

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ndiye mchezaji bora wa soka duniani — Ronaldo

cristiano-ronaldo-553153

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amedai kuwa yeye ndiye mchezaji bora ulimwenguni.

cristiano-ronaldo-553153

Mchezaji huyo raia wa Ureno, 30, ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia na mfungaji bora wa Real Madrid ameiambia BBC.

“Sihitaji kusema, niko katika historia ya mpira, mimi ni legend. Namba zinasema kila kitu,” alisema.

Ronaldo ambaye alijiunga Real akitokea Manchester United mwaka 2009 kwa kitita cha auni milioni 80 amesema amefikia kiwango kiwango cha kushangaza kwa kipindi cha...

 

10 years ago

GPL

RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014

Mchezaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo akiwa na tuzo ya Ballon d'Or baada ya kutangazwa na FIFA kuwa Mwanasoka Bora wa mwaka 2014. Cristiano Ronaldo (kushoto) akisalimiana na Rais wa UEFA,  Michel Platini.…

 

11 years ago

GPL

NANI KUTWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA (BALLON D'OR) LEO?

TUZO ya Mchezaji Bora wa Dunia (Ballon d'Or) inatolewa leo jijini Zurich, Switzerland, lakini kitendawili kinabaki ni mchezaji gani kati ya hawa Christiano Ronaldo, Lionel Messi na Frank Ribery ataibuka na tuzo hiyo?

 

11 years ago

GPL

FIFA YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014

Orodha kamili:
- Angel Di Maria (Argentina)
- Mats Hummels (Germany)
- Toni Kroos (Germany)
- Philipp Lahm (Germany)
- Javier Mascherano (Argentina)
- Lionel Messi (Argentina)
- Thomas Muller (Germany)
- Neymar (Brazil)
- Arjen Robben (Netherlands)
- James Rodriguez (Colombia)
Haya ni majina ya washindi wa tuzo hiyo katika mashindano ya Kombe la FIFA la dunia miaka iliyopita:
1982 FIFA World Cup Spain: Paolo Rossi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani