Ronaldo Ajigamba ndiye mchezaji bora
Mimi ndiye mchezaji bora ulimwenguni, amejigamba Cristiano Ronaldo. Mreno huyo mwenye miaka 30 ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Mimi ndiye mchezaji bora wa soka duniani — Ronaldo
![cristiano-ronaldo-553153](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cristiano-ronaldo-553153-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amedai kuwa yeye ndiye mchezaji bora ulimwenguni.
Mchezaji huyo raia wa Ureno, 30, ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia na mfungaji bora wa Real Madrid ameiambia BBC.
“Sihitaji kusema, niko katika historia ya mpira, mimi ni legend. Namba zinasema kila kitu,” alisema.
Ronaldo ambaye alijiunga Real akitokea Manchester United mwaka 2009 kwa kitita cha auni milioni 80 amesema amefikia kiwango kiwango cha kushangaza kwa kipindi cha...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Ronaldo mchezaji bora wa Ulaya
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjGkbKe25gfBpNlUOO*VS1eMzVsRaiTSjDyWBY7qoCthQpG14tEziCudirpbOouHdg0f5A*UryIdadoM8FKgW8m/1409261957864_wps_1_epaselect_epa04372610_Por.jpg?width=650)
CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA
11 years ago
GPL14 Jan
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s72-c/kiiza.png)
Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s640/kiiza.png)
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba