Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba

Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.

Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.

Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA

Hamida hassan
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya. Jennifer Kyaka 'Odama' akiwa na mwanaye. Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu...

 

9 years ago

Global Publishers

Mastaa waliofanya siri kuficha mimba, watoto 2015

kyaka                                                                        Jenifer Kyaka.

Mayasa mariwata

MIONGONI mwa vioja vilivyotikisa mwaka 2015 ni kitendo cha baadhi ya mastaa wa filamu Bongo kuyapiga chenga madai ya kubeba mimba na kuzaa huku wengine wakificha watoto wao, kwa kutotaka waonekane sura pasipo kuwa na sababu za msingi.

Katika makala haya, yanachambua baadhi ya mastaa waliofanya hivyo;

AUNT EZEKIEL
Staa huyu asiyechuja, gumzo kubwa lilianza baada ya kupewa ujauzito na dansa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Mastaa wa Bongo Movies Wanaoutamani Ubunge Mwaka Huu

Uchaguzi mkuu wa kupata Rais, Wabunge na Madiwani upo jirani. Utafanyika mwaka huu na tayari mpaka sasa watu wenye nia ya kuwania nafasi hizo wamesikika au kutajwa kujiweka mguu sawa kabla ya filimbi kupulizwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec).

Baadhi ya waigizaji wa filamu nao hawajalaza damu, wametangaza nia yao ya kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho, macho yao yakielekezwa kwenye Ubunge.

Dude, Tabora Mjini

Ni msanii wa maigizo anayegombea ubunge katika jimbo la Tabora Mjini. Dude...

 

9 years ago

MillardAyo

Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015…

Mashabiki wengi  wa soka wanaamini nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ndiye bora duniani..lakini kuna hili gazeti moja kutoka Ufaransa la L’Equipe limeorodhesha wachezaji 100 waliofanya vizuri kwa mwaka uliopita wa 2015. Katika orodha hiyo Ronaldo pamoja na mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski wamefanikiwa kuingia hatua ya tano bora. Mastaa waliofanikiwa kushika nafasi tatu za […]

The post Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015… appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Mastaa 10 Wakiume wa Bongo Movies Ambao Shamsa Anawakubali

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambae ni Binamu Wa Nay Wa Mitego amewataja hawa kua ndio wakali wake.

“Mambo vipi Tanzania? Leo ningependa kuwatajia wanaume 10 ambao huwa napenda sana uigizaji wao, haimanishi kwamba wao ndo the best kuliko wengine but napenda tu sanaa yao. (1) Single Mtambalike ‘Richie’ (2) Marehemu Adamu Kuambiana (3) Marehemu Kanumba (4) Muhogo Mchungu (5) Swebe (6)Tino (7) Gabo (8) Vincet Kigosi ‘Ray’ (9) Bishanga Bashaiga (10) Cloud112....nawakubali sanaaaaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo

“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa  5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika  mtandaoni.

Hebu na sisi tuwataje wetu.

 

9 years ago

GPL

WATOTO WANAVYOWAHENYESHA MASTAA HAWA

Wiz Khalifa na mzazi mwenzake Amber Rose . SIKU zote watu walio katika uhusiano wa kimapenzi hufurahia zaidi wanapofanikiwa kupata mtoto, kwani huwa ni faraja kubwa. Lakini maisha ya mastaa mara nyingi hukumbwa na misukosuko inayosababisha wengine kutengana hivyo kuwapa wakati mgumu watoto wao, wakigombea nani mwenye haki ya kuishi nao. Chris Brown na Nia. Baadhi yao hufikia hatua ya kufikishana mahakamani kutaka haki ya kuishi...

 

10 years ago

GPL

MASTAA HAWA WAMECHEZEA MIOYO YAO!

Wema Sepetu na Diamond. MAPENZI ni kizunguzungu! Msemo huu umetimia kwa baadhi ya mastaa waliokuwa na uhusiano ambao ulivuma kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hawakukauka midomoni mwa watu. Katika uhusiano huo wa kimapenzi wapo ambao walikuwa wanafurahishwa na ‘kapo’ za mastaa hao kutokana na jinsi walivyokuwa wakiendana lakini waliishia kuanguka kwenye dhambi ya uzinzi na wengine kuzaa kisha kuachana solemba,...

 

9 years ago

GPL

MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA

KATIKA ulimwengu wa muziki Bongo, tumekuwa tukiwasikia wasanii wachache wakivuma ndani na nje ya nchi huku wakifanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchi tofauti na Tanzania. Pamoja na hao wachache kuvuma kimataifa, siyo kwamba wanajua sana kuliko wengine ila nyota zao ndizo zinazowasaidia kujikuta wakitajwa kila kona huku wengine wakiwa wanafanya vizuri lakini hawapati bahati hiyo ya kuwa gumzo ndani na nje, tatizo likiwa ni nyota...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani