MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA

KATIKA ulimwengu wa muziki Bongo, tumekuwa tukiwasikia wasanii wachache wakivuma ndani na nje ya nchi huku wakifanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchi tofauti na Tanzania. Pamoja na hao wachache kuvuma kimataifa, siyo kwamba wanajua sana kuliko wengine ila nyota zao ndizo zinazowasaidia kujikuta wakitajwa kila kona huku wengine wakiwa wanafanya vizuri lakini hawapati bahati hiyo ya kuwa gumzo ndani na nje, tatizo likiwa ni nyota...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Nyota hawa wana kazi kucheza ‘First XI’ msimu ujao
10 years ago
GPL
WANA KAMA TATIZO NYOTA BONYEZENI RELI!
11 years ago
Mwananchi31 May
Wasichana wenye vipaji ni hawa tu au kuna zengwe?
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Nyota hawa Simba, Yanga kwisha
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Eagles Entertainment Kusaka vipaji mikoani, Wahusika Hawa ndiyo Wanahitajiaka
MWIGIZAJI wa filamu wa kike Yuster Kachara ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Eagles Entertainment ametangaza kuwa kampuni yake inatarajia kusaka vipaji kutoka mikoani zaidi ya mine kwa ajili ya kurekodi tamthilia itayorushwa katika moja ya televisheni kubwa hapa nchini.
“Tunahitaji kupanua wigo wa tasnia ya filamu kwa sasa ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha wasanii kutoka mikoani ambao muda mwingi wamekuwa ni watazamaji tu, hivyo tukiwatumia katika tamthilia ni rahisi kushiriki wengi na...
10 years ago
GPL
WATOTO WANAVYOWAHENYESHA MASTAA HAWA
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Vipaji Siri ya nyota Amerika Kusini kung’ara England, Ulaya
10 years ago
GPL
MASTAA HAWA WAMECHEZEA MIOYO YAO!
11 years ago
GPL
MASTAA WENYE NYOTA ZA NGONO!