Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANA KAMA TATIZO NYOTA BONYEZENI RELI!

OYOOOO aje mabraza na masista? Kama kawa, kama dawa tunamiti wansi ageini katika kijiwe chetu na kubonga mastori ya tauni ama nini? Niaje masela wangu wa kipande cha TA mapenzi yalikozaliwa? Mko poa? Veri sori kwa maraia mliofesi mbishe za mabomu ya hapa na pale kozi najua ni jinsi gani pipo ambao hawana expiriensi na michongo ka hiyo wanavyokuwa na kiraruraru pindi kinaponukishwa.
Lakini kimsingi inabidi kidogo tuwekane kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA

KATIKA ulimwengu wa muziki Bongo, tumekuwa tukiwasikia wasanii wachache wakivuma ndani na nje ya nchi huku wakifanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchi tofauti na Tanzania. Pamoja na hao wachache kuvuma kimataifa, siyo kwamba wanajua sana kuliko wengine ila nyota zao ndizo zinazowasaidia kujikuta wakitajwa kila kona huku wengine wakiwa wanafanya vizuri lakini hawapati bahati hiyo ya kuwa gumzo ndani na nje, tatizo likiwa ni nyota...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota hawa wana kazi kucheza ‘First XI’ msimu ujao

Septemba 12 mwaka huu, vishindo vya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ilifunguliwa rasmi kwa mechi ya Ngao ya Jamii baina ya Azam na Yanga Jumamosi, Agosti 22 vitaanza kusikika kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Paka aliyehudumu kama mkuu wa kituo cha reli

Paka moja amezikwa kwa taadhima na hulka ya afisa mkuu wa kituo cha reli nchini Japan baada ya kuihudumia kwa miaka 8.

 

10 years ago

Bongo5

Christian Bella asema Belle 9 ni mkali ila ‘tatizo ni nyota tu’

Mwanamuzi wa bendi ya Malaika, Christian Bella anaamini kuwa Belle 9 ni msanii mwenyezi uwezo mkubwa ila tatizo hana tu nyota ya kung’aa. Hivi karibuni Bella alikuwa kwenye kipindi cha ‘Mboni Show’ ambako alisema Belle amekosa nyota ya kung’aa ingawa ana uwezo mkubwa wa kuimba kwa kutumia sauti yake. “Sielewi kwanini rafiki yangu Belle 9 […]

 

10 years ago

Jamtz.Com

KAMA WEWE NI MBUNIFU TFF WANA DEAL KWA AJILI YAKO


Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwakaribisha wabunifu.
Unachotakiwa kufanya ni kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa zitakazokuwa zikitumiwa kwa mechi za nyumbani na ugenini na ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.
Mkwanja walioutoa kwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na...

 

10 years ago

GPL

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha. Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day. Aliandika hivi:...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA-WANANCHI WA KARATU WANA HAKI YA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA MAENDELEO KAMA WENGINE.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi Mjini Karatu na kujibu hoja mbalimbali za Wananchi,ambapo aliwaelez wananchi hao kuwa maswali mengi yanahusu kujibiwa na Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni wa upinzani, Madiwani na Mwenyekiti wa halmashauri kwa kuwa ndiyo wenye kusimamia miradi na kuwapa taarifa wananchi, Lakini viongozi hao wamekuwa wakifanya mambo wanavyotaka na kuacha wananchi wakipata taabu kwa sababu ni wa chama cha Upinzani (CHADEMA). 
Hata hivyo Kinana...

 

11 years ago

Michuzi

NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA

Wazee wa kabila la Kihehe, kata ya Kalenga mkoani Iringa wakimpa heshima ya kichifu  alipokuwa Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kusini Jackson Kiswaga ambae  leo anapigiwa  kura  za maoni  za  kusimamakugombea  ubunge  kupitia  CCM jimbo la Kalenga
Bw Kiswaga  akiwashukuru  wana kalenga kwa maombi  na imani  yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati  leo  wajumbe wa Halmashauri  kuu ya CCM jimbo la Kalenga  wanakutaka  katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa  kumteua ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...

Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"

''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani