KINANA-WANANCHI WA KARATU WANA HAKI YA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA MAENDELEO KAMA WENGINE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dwwo8XgP2Io/VQdGUN30ISI/AAAAAAAC1ro/LvIJ9yVwyg4/s72-c/18.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi Mjini Karatu na kujibu hoja mbalimbali za Wananchi,ambapo aliwaelez wananchi hao kuwa maswali mengi yanahusu kujibiwa na Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni wa upinzani, Madiwani na Mwenyekiti wa halmashauri kwa kuwa ndiyo wenye kusimamia miradi na kuwapa taarifa wananchi, Lakini viongozi hao wamekuwa wakifanya mambo wanavyotaka na kuacha wananchi wakipata taabu kwa sababu ni wa chama cha Upinzani (CHADEMA).
Hata hivyo Kinana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ZIARANI HANDENI,AZUNGUMZA NA WANANCHI NA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI MBALIMBALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fuskadLsPA8/VCHZZKnd1LI/AAAAAAAARKQ/on2mQhf5d-w/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NoSx4r95EBg/VCHZ0KBUy9I/AAAAAAAARKo/4Z-zueAgNQs/s1600/5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuW3ScMCRPB6ry*qL6raffTrTr*d6c1RvpXm6pKNwN402BD-Sf9iEgn0rUPpzRGXRR1MT0SnJjHkrKS8bWRrs5XP/ccm1.jpg?width=650)
KATIBU MKUU WA CCM, KINANA ZIARANI HANDENI, AZUNGUMZA NA WANANCHI NA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI MBALIMBALI
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Bodaboda wasijione wana haki kuliko wengine
NCHI yoyote inayolenga kuendeshwa kistaarabu huwa inajitungia sheria, kanuni na taratibu. Hizi hutumika kama nyenzo za kuhakikisha kuwa watu wanapata haki zao na kuwa haki ya mtu mmoja haitumiki kuvuruga...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo
WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...
10 years ago
Habarileo15 Mar
‘CCM haijawahi kupata Katibu Mkuu kama Kinana’
ALIYEKUWA Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), hakijawahi kupata Katibu Mkuu hodari na mchapakazi wa mfano wa Abdulrahman Kinana, tangu kuanzishwa kwake.
11 years ago
Dewji Blog10 May
Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/63.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-L26xI0BEztw/UzGBfY3cdbI/AAAAAAAFWPU/XkG-Vq33Mmc/s72-c/IMG_0868.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAMILISHA ZIARA YAKE WILAYA YA ILALA,AKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO.
![](https://4.bp.blogspot.com/-awi3LJPVwCc/UzFrK_9xWYI/AAAAAAAAk3E/BgpfOOMcGfc/s1600/1.+Kinana+akizungumza+kwneye+mradi+wa+tangi+la+maji+Tabata+Kisiwani.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Kinana akagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi Nanyumbu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010
![](http://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...