Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha. Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day. Aliandika hivi:...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo liko wapi


Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day.Aliandika hivi: “Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Inashangaza, tatizo liko wapi?

Kwa mataifa mengine, sikukuu za mwisho wa mwaka huwa ni za kutafakari yaliyotendeka ndani ya mwaka mzima na kujipanga upya kwa unaofuata. Sina uhakika kama sisi Tanzania tunafanya hivyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB ajibu 'post' iliyowekwa na Zamaradi kuhusu filamu za kibongo - "Tatizo liko wapi" ?

Baada ya mwanadada mdau wa filamu nchini, Zamaradi mketema kufunguka yake juu ya filamu za bongo – bongomovies, hatimaye mwigizaji mkongwe nchini Jacob Steven - JB ameamua kuandika haya yafuatayo hapo chini kuelezea baadhi ya mambo anayohoji Zamaradi kama ifuatavyo.

 

“Kwako Zamaradi na wengine wote.

 

Kwanza napenda niwashukuru wote kwa jinsi mnavyotuwazia mema. Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza waigizaji wote wa Tz na waandaaji wa filamuU kwa kuthubutu kutengeneza filamu hizi...

 

11 years ago

Bongo5

Kama huna ujuzi unaohitajika na mwajiri, Unafanyaje?

Kitu cha msingi unapotafuta kazi inakubidi ufanye uchunguzi wa soko la ajira. Fuatilia nafasi za kazi zinazotangazwa ambazo zinakulenga wewe na utazame mambo yafuatayo; Je ni nafasi gani imetangazwa? Na naneno gani au Msamiati gani inatumiwa na mwajiri? Angalia mshahara ni wa kiwango gani? Na vigezo gani vinatumika kumpata huyo mtu? Lakini je ufanyeje kama […]

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA, NGUVU HUNA MKWANJA HUNA..HATA MKWARA?

Saluti kwa wanangu wote tunaochekiana kwa mafoni deile kupeana madini ya kuwalisha masela. Inakuwaje kwa kitaa hiyo ya bee machalii? Ni mpango mzima? Selaa huku kwa fasi ya tauni Bongo tambarare watu tunakabana makoo ileile. Ilimradi tu mwisho wa dei vichwa visomeke. Ama nini? Kaa humu wewe uwe mjanja wangu. Ebana tudei no mboyoyo mingi kozi laifu liko resi hatare. Kuna mwanangu Chuma au Benz ana bonge la talenti kwenye gemu la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichokisema Zamaradi kuhusu bongo Movies. "Tatizo liko wapiii"?

 

Leo mwanadada Zamaradi mketema ameamua kusema haya kuhusu filamu zetu nchini. Kama wewe ni mdau wa bongo movies tafadhali tusaidie kutoa maoni yako juu ya maswali haya ambayo zamaradi anauliza…

Hichi ndicho alichosema…

“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu... R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!

Mbona hapa...

 

9 years ago

Bongo5

Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J

MasterJ

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.

MasterJ

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.

“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kama Takukuru wamo, tuponee wapi?

Kwenye toleo letu la jana, ukurasa wa tatu tulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014” iliyotokana na matokeo ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Afrobarometr ya Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani