Kama huna ujuzi unaohitajika na mwajiri, Unafanyaje?
Kitu cha msingi unapotafuta kazi inakubidi ufanye uchunguzi wa soko la ajira. Fuatilia nafasi za kazi zinazotangazwa ambazo zinakulenga wewe na utazame mambo yafuatayo; Je ni nafasi gani imetangazwa? Na naneno gani au Msamiati gani inatumiwa na mwajiri? Angalia mshahara ni wa kiwango gani? Na vigezo gani vinatumika kumpata huyo mtu? Lakini je ufanyeje kama […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI768TIb6Y8bh7fl3KWhcUBQlOujnZHvh-teEMPlUJj*GaDAeoo4J9NVkm-yVXFQdc-vIplJ5OkHeP9c3MDS-qn/Love.jpg)
KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL92Z-E7SGpqh*gJBDxh42E3Gyp-g3sW9lGWAC7RLZRSBQNIwXX*c65n68osH7FI9ceiJjwmjXmybsP-Nha7Ox1U/pppppek.jpg)
OYA MWANA, NGUVU HUNA MKWANJA HUNA..HATA MKWARA?
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
![MasterJ](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/MasterJ-300x194.jpg)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Saudia kutoa msaada unaohitajika Yemen
10 years ago
Mwananchi26 Apr
ukitaka kujua tunda bivu au limeoza unafanyaje ?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiVk1nrwCqmYOE2wGQ5J2S4-yM0HnvEDcnIznWNFuLG3-DmNCsLjt0QTuQHpKr5-GjA6AN1fKC-G5EmkFhx0uO/mahaba.jpg?width=650)
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
9 years ago
Habarileo17 Dec
Mtoto hajui KKK mwalimu mkuu kazi huna -Manyanya
NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Stella Manyanya amesema kuanzia mwakani serikali itawafukuza kazi walimu wakuu wa shule zote za msingi ambazo wanafunzi wake wa Darasa la Tatu watashindwa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK).
11 years ago
Habarileo27 Jun
Walimu kuwa na mwajiri mmoja
CHAMA cha Walimu Nchini (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
‘Hausigeli’ adaiwa kubakwa na mwajiri
MTOTO mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa maeneo ya Mghalani, mkoani hapa, ambaye ni mfanyakazi wa ndani ‘Hausigeli’, anadaiwa kubakwa na mwajiri wake na kumsababishia maumivu makali. Kaimu Kamanda...