Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Oct
Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz
10 years ago
Bongo517 Oct
Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki
10 years ago
Bongo531 Jan
Said Fella: Bila kuwekeza fedha kwenye muziki msanii unapoteza tu muda
11 years ago
GPL
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Muziki genge nchini Kenya unapata umaarufu kulaumiwa kupotosha vijana
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Kama tutauenzi Muungano hatuna budi kusema kweli kuulinda
11 years ago
Bongo517 Oct
Kama huna ujuzi unaohitajika na mwajiri, Unafanyaje?
10 years ago
GPL
KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?
10 years ago
GPL
OYA MWANA, NGUVU HUNA MKWANJA HUNA..HATA MKWARA?